kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
''Kifo ndio kitawatenganisha," Hii ni kauli ya wachungaji wengi wanapofungisha ndoa, sasa nauliza mbona anapokufa mwanamke ndugu zake wakitaka wamzike kwao, mume na ndugu zake wanalumbana azikwe kwa mume wakati mchungaji alishasema kifo ndio kitawatenganisha. Au hii kauli haiheshimiwi?