Kifo kinakimbia

nsangaman

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
275
42
Kuna siku itafika kifo kikikuona kitakuwa kinatoka nduki.Hapo hakuna kufa,hata ukijining'iniza kwenye mti na kamba haufi ila cha moto utakiona.Unagongwa na gari haufi.
 
Hapo cha msingi usilikimbize,kula bata nenda slowly but sure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom