Sauti ya Umma
Member
- Aug 26, 2010
- 37
- 20
Viongozi wa Chama cha Sauti Ya Umma (SAU), leo asubuhi wamefika katika ofisi za makao makuu ya chama cha TLP kusaini kitabu cha maombolezo na kuwapa pole wana TLP kwa kuondokewa na Mwenyekiti wa chama Taifa
Wakiongea katika ofisi hizo wamesema wamesikitishwa sana kwa kifo cha Mhe Agustino Lyatonga Mrema mwanasiasa mkongwe ambaye alikuwa jasiri na alituongoza njia wapizani tokea 1995
Mzee alikuwa mpambanaji, jasiri mwenye msimamo asiyeyumbishwa na chochote. Tunatoa pole sana kwa familia, viongozi na wanachama wa TLP, wananchi wa Jimbo la Vunjo, wanasiasa na watanzania wote
Tunamuomba Mungu ampe raha ya milele na mwanga wa milele umuangazie,
Wakiongea katika ofisi hizo wamesema wamesikitishwa sana kwa kifo cha Mhe Agustino Lyatonga Mrema mwanasiasa mkongwe ambaye alikuwa jasiri na alituongoza njia wapizani tokea 1995
Mzee alikuwa mpambanaji, jasiri mwenye msimamo asiyeyumbishwa na chochote. Tunatoa pole sana kwa familia, viongozi na wanachama wa TLP, wananchi wa Jimbo la Vunjo, wanasiasa na watanzania wote
Tunamuomba Mungu ampe raha ya milele na mwanga wa milele umuangazie,