nipe sababu ya kwanini wamegoma kuufanyia post mortem huo mwili, dunia inawatizama tu, mnayofanya dunia inayaona na wanapelekewa na ushahidi, hao wanaolazimishwa kufanya unadhani nao wanapenda, wanafanya kutokana na amri za wakubwa wao, lakini hawapendi,I see me holding AK 47 nkiuua watu wapuuzii kama aliyeandikaa hapaa....
Hivi we jamaa Ni mjinga na mpumbavu kiasi gani? Mada zako zote Ni kusifia ujinga,uovu na ukatili wa viongozi, Bora uwe unakaa kimya kuliko kuandika utumboUnaonekana uko karibu sana na marehemu nenda kafungue kesi ili haki ipatikane ukishindwa kufanya hivyo basi ulichoandika ni uzushi mtupu.
Bavicha bhana story za vijiweni wakina ngurumo mnazipenda na mnataka tuamini ninyi ndio mnasema ukweli
Ehee now you understand my point. Hoja yangu ni hii: Wewe na wenzako mnafanya makosa ya kijinga sana kusema kuwa ameuawa na vyombo vya dola. Na kilichowafanya mseme hivyo ni kwakuwa mnaamini eti amekataa kuowa fedha. Kumbe ilitakiwa ''mruhusu akili zenu zifanye kazi'' na msime tu uchunguzi wa kina ufanyike kama ulivyosema sasa. Kuwa kifo kina utata mimi wala sipingi. Lakini kusema ameuwa kawa sababu ya kukataa kuwapa watu fedha ndiyo ilipo taabu yangu.Aisee,ruhusu akili yako ifanye kazi!Iweje Polisi waconclude haraka haraka kuwa amejinyonga eti kwasababu wamekuta amejinyea na kujikojolea?Kweli????Mimi sitaki kukomaa na hoja moja ya fedha,ila naangalia hoja zote na nini kinachofanyika na polisi,level of confidense ya watekaji na wauwaji ni ya hali ya juu,kutofautiana kwa maelezo kati ya ndugu/mashahidi na polisi,haya yote yanaonesha kuna cover up!
Unaandika maneno kama haya lakini ukiambiwa uelezee nina uhakika hujui chochote zaidi ya kufuata mkumbo!Kuna mkono wa Rais, kupitia ndugu yake Dotto Katibu Mkuu Wizara ya Fedha. Watanzania mlifanya makosa makubwa mno kukubali huyu NDULI kuwa Rais wenu, kupitia wizi wa kura uliofanywa na akina NAPE na MAKAMBA.
Hayo ni malalamiko yaliyotolewa na marehemu kabla ya kifo chake kwa watu wake wa karibu kuwa kuna watu wanamsumbua kuhusu fedha za EU!Ehee now you understand my point. Hoja yangu ni hii: Wewe na wenzako mnafanya makosa ya kijinga sana kusema kuwa ameuawa na vyombo vya dola. Na kilichowafanya mseme hivyo ni kwakuwa mnaamini eti amekataa kuowa fedha. Kumbe ilitakiwa ''mruhusu akili zenu zifanye kazi'' na msime tu uchunguzi wa kina ufanyike kama ulivyosema sasa. Kuwa kifo kina utata mimi wala sipingi. Lakini kusema ameuwa kawa sababu ya kukataa kuwapa watu fedha ndiyo ilipo taabu yangu.
Umemsahau Mr sifuri mkuumambo now, kigwa, lugola, jiwe, paramagamba, bashiri wakikaa kimya unaamini kabisa wana àkili balaaa na busara sasa ruhusu waongeee yaani unajiuliza hawa wana akili timamu kweli
ona sasa mtu unaratibu mauaji ya mwenzako namna hii kisa tamaa
Fedha haiwezi kuwa sababu kwa namna mnavyojenga hoja! Jaribu kuelewa! Na ndiyo hoja yangu. Kuwa eti serikali ilitaka marehemu aipe fedha akakataa ndiyo maana akauawa! Kama ni fedha basi ni kwa namna nyingine lakini siyo kwa namna mnavyoelezea.Hayo ni malalamiko yaliyotolewa na marehemu kabla ya kifo chake kwa watu wake wa karibu kuwa kuna watu wanamsumbua kuhusu fedha za EU!
Ninachojadili hapa ni nini jeshi la polisi linafanya au lishafungwa mikono wajumuishe tu suicide???Naona kila dalili za cover up kwenye hili na hapo ndio naona kuna mkono mzito kwenye hilo!
Unaikumbuka story aliyoitoa Magufuli juu ya kilichomkuta rafiki wa mfugale waliyekuwa naye Tanroads?
Kama umeisahau basi nijulishe nikipata muda nikutafutie clip ili uone upanue akili yako!!!
Kwa mawazo kama haya kuwa fedha haiwezi kuwa sababu za kifo chake basi rejea hiyo story na utaamini una mengi ya kujifunza!
Mimi sijaelezea hayo ila naangalia facts katika kila angle,hata rafiki wa Mfugale ilikuwa analazimishwa asaini hela za Tanroads ili wakubwa wa serikalini wapige deal,akagoma na akakumbwa na misukosuko ambayo ilipelekea kifo chake ambapo alijipiga risasi kwa maelezo ya JPM!Story hiyo angeeleza Ngurumo mngebisha kama mnavyobisha kwenye hili ila kwakuwa imeelezwa na JPM watu waliamini mara moja japo mazimgira yalikuwa tata sana!Fedha haiwezi kuwa sababu kwa namna mnavyojenga hoja! Jaribu kuelewa! Na ndiyo hoja yangu. Kuwa eti serikali ilitaka marehemu aipe fedha akakataa ndiyo maana akauawa! Kama ni fedha basi ni kwa namna nyingine lakini siyo kwa namna mnavyoelezea.
Tatizo la mjadala wangu na wewe ni kuwa wewe umeshaamua kuwa tuko pande mbili. i.e. mimi niko upande wa serikali na wewe uko upande wa waathirika wa ''udikteta'' wa awamu ya tano. Kwa namna hii huwezi kuwa na mawazo huru. Kifo cha marehemu kina utata kama zilivyo story za kilichosababisha kifo chake. Ninachojaribiu kufanya mimi ni kutoku-conclude ni nani mhusika wakati nyie tayari mhusika mnaye kwenye fikra zetu.Mimi sijaelezea hayo ila naangalia facts katika kila angle,hata rafiki wa Mfugale ilikuwa analazimishwa asaini hela za Tanroads ili wakubwa wa serikalini wapige deal,akagoma na akakumbwa na misukosuko ambayo ilipelekea kifo chake ambapo alijipiga risasi kwa maelezo ya JPM!Story hiyo angeeleza Ngurumo mngebisha kama mnavyobisha kwenye hili ila kwakuwa imeelezwa na JPM watu waliamini mara moja japo mazimgira yalikuwa tata sana!
Pengine ukweli wa hili tutaujua miaka mingi ijayo ukiwa utawala mwingine kama ambavyo kifo cha huyo jamaa wa tanroads kimekuja kujulikana sababu awamu hii!!!
Mwishon wa andiko hili amesema kuwa ngurumo ndio sourcenashangaa sana mleta uzi anataka tuamini yeye ndo kaandika wakati amecopy article ya Ngurumo kule facebuku
Kwahiyo kwa lissu Cctv zilifawywaje??Maswali mafupi kwa mtoa hadithi
1.anasema hakutekwa na polisi, bali watu wenye nguvu? Je ni ma bauncer au?? Kwenye matukio mengi ya kufumaniwa au ugomvi binafsi watu kama hao hutumika, hivyo lawama kwa "serekali " hauna mshiko.
2. Suala la kutakiwa/kushauriwa kuchukua likizo ni jambo la kawaida mtu akipatwa na masaibu kama hayo, hivyo kulihusisha jambo hill na Katibu Mkuu wa wizara hauna mantiki labda kama mtu anataka kutengeneza movie.
3. Suala la watu kutaka kuchukua pesa kwenye miradi ya eu nayo ni hadithi isiyo na mshiko kwani miradi hiyo hukaguliwa na wakaguzi wa nje ambao hawana nasaba na waliotaka hela za uchaguzi.
4. Hilo la atm inawezekana wabaya wake au waliotumwa waliamua kujiongeza na hao wanaweza kuonekana kwenye cctv, hivyo kujaribu kuihusisha "serekali" au watu wa system kuzichukua hizo hela hazina mantiki hasa wakijua cctv zitawaumbua. Kwa sasa naachia hapo