Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Duuh...kwahiyo m'meshajua aliyeuwa nani !? Wabongo noma sanaa !Inaumiza sana, kuna Njia nyingi za kumwadhibu mtu...
Mfano, kufukuza kazi,
Kumpangia kazi nyingine hata nnje ya nch ila Sio Kumfanyia Ukatili na Kuondoa Uhai wake... Very Unfair.