Mie nimetoa mtazamo wanguKwahiyo ndio umehitimisha hivyo?Mbona Mambosasa alikimbilia kusema kajinyonga????Teh teh,kuna namna hapo!
Siku hizi mtu hata akifa kwa ajali ya barabarani tutaambiwa serikali
Mie nimetoa mtazamo wanguKwahiyo ndio umehitimisha hivyo?Mbona Mambosasa alikimbilia kusema kajinyonga????Teh teh,kuna namna hapo!
mahakama ziko nyingi duniani.nenda hata arushaMshtakiwa ni ngedere halafu ukafungue kesi kwa nyani ?
Kwahyo ulitaka afyatue kama mpemba?Nimeshangaa kuona ana miaka 50+ ana mtoto mmoja tena darasa la tatu. Pia alikuwa single kutokana na kuwa alidivorce. Yaani pesa,possessions matérielles siyo kila kitu.
Hayo ya kwako!!!Wapi mtu amekufa kwa ajali ukaambiwa serikali?Haya matukio ya kutekana na kuuana yamekuwa kawaida sana awamu hii,halafu kinachozua hisia hizo ni hawa targets wa utekaji na mauaji,unakuta motives zinafanana!!!!Mbaya zaidi serikali na amri jeshi mkuu wala hana habari na haya matukio!!!!!Mie nimetoa mtazamo wangu
Siku hizi mtu hata akifa kwa ajali ya barabarani tutaambiwa serikali
Kama umesoma vizuri adi mwisho utaona ametoa credit.nashangaa sana mleta uzi anataka tuamini yeye ndo kaandika wakati amecopy article ya Ngurumo kule facebuku
Umesoma mwisho wa kunukuru? Kamuandika mwandishi.nashangaa sana mleta uzi anataka tuamini yeye ndo kaandika wakati amecopy article ya Ngurumo kule facebuku
Kipilimba popote ulipo hizi roho zilizopotea zitakutafunamkuu wa tiss kajiticha kwenye ulokole Kama huyo Mungu anae mwamini yupo kweli uyu mzee atakuwa na undugu na shetani.hakuna wakati roho za watu zimepotea Kama awamu Ihii ya kwake dk kipilimba autakumbukwa kwa jema lolote zaidi ya yote mayatima wanaobaki ni kilio kwa kizazi Chako kijacho.
Wanasisitiza vitu very minor, wakati kuna vitu very serious wakivifumbia macho
Hakika Taifa hili huko liendako ni suala la kumwomba Mungu atuepushe na balaa kubwa linattunyemelea la umwagikaji mkubwa wa damu
Ulitaka kila anayekomenti kuhusu hiyo habari angekuwepo?Wewe ulikuwepo ?
Lwajabe alifanyiwa unyama mkubwa. Alilawitiwa na kupigwa picha.
Zakaria style tu,ni wakati sasa watanzania wengi wamiliki silaha!Ukiona watu wanakunyemelea hawajajitambulisha ni ambush tu!!!!Mbwai mbwai,bora kufa kiume kuliko kupelekwa chocho kufanyiwa ufedhuli!Yani imeniuma ni Mungu anajua kwa kiasi nilichoumia.
Kutoka kuokota kodi/mapato kwa bunduki hadi kupora kwa bunduki!! Sirikali iliofeli vibaya ktk historia ya Nchi yetu.
Ushauri wa bure kwa walengwa pale wanapojua wanawindwa, bora kupambana uuwawe hadharani kuliko kwenda kuteswa na kulawitiwa halafu na bado uuwawe.
Lwajabe alifanyiwa unyama mkubwa. Alilawitiwa na kupigwa picha.