Kifo cha CCM

Kifo cha CCM

Mshamba mkuu na limbukeni mkuu lazima akiuwe chama ni suala la muda tu .
 
Nimesoma makala yako nakugundua kuwa ubongo wako una uvimbe au huenda hukumaliza dozi yako huko Milembe Hospital, huwezi kusema CCM ni chama ambacho hakuna cha maana kilichofanya wakati wewe mwenyewe hivyo vi simu na labtop ni matunda ya ccm, bila chama hiki kuiimarisha Serikali ambayo iliingia mikataba na Mataifa mbalimbali nakupewa masafa ambayo wewe leo unayatumia kutupia upuuzi na utumbo wako humu mitandaoni. Pia barabara unazotumia ni zao la usimamizi mzuri wa serikali ya ccm, huduma za Hospitali ambako kila unapougua Kaswende yako huwa unatibiwa na Madaktari waliosomeshwa kwa fedha ya serikali ya ccm. Kifupi huna akili.
Masimu feki ya kichina,
Kama ni mafanikio ndio haya kwenye nchi yenye mali kibao basi watawala wetu wana mtindio wa ubongo.

Ni sawa na mwanafunzi aliepata asilimia 30 kwenye mtiani alafu mzazi kilaza kama wewe unasema mwanao amepata mafanikio eti amefaulu,aibu
 
Mwisho wa CCM ni mwaka 2020 ambapo chama hiki kitafutika kabisa ndani ya bara la Afrika na kusahaulika. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali kuwarudisha hawa mafisadi na wachumiatumbo wakubwa madarakani.
Endelea kuota ndoto za mchana kweupee,labda wewe ndio utafutika,CCM itatawala miaka 100
 
Ccm kimekuwa chama kikongwe sana barani Africa ambacho mpaka Leo kipo madarakani lakini ni chama ambacho kwamiaka yote hiyo kimeshindwa kutufikisha watanzania mahali ambapo tulipaswa kufika kimaendeleo kulingana na rasilimali zilizopo nchini. Ni ukweli usiofichika Kwamba kuna wachache ndani ya Ccm Kwa muda mrefu wamekuwa wanufaika wakuu wa rasilimali za nchi wengine tukiumia.

Naufurahia mgogoro ulioanza ndani ya Ccm maana wanufaika na watu waliotutesa Kwa miaka mingi Kwa kula mkate Wa taifa peke yao wameguswa/wametikiswa na kiukweli hawatakubali ndio utakuwa mwisho wao pamoja na chama chao cha kifisadi. Watanzania sio wajinga tena waking'ang'ania chama wataachiwa ila watanzania tutaamua maana tuliwaona tukawasikiliza tukawapa nafasi lakini walituumiza sana sasa sisi tunamjua tunayemtaka vyovyote itakavyokuwa ila tutamchagua huyo.
Kwaheri Ccm yamafisadi mmetuumiza Kwa muda mrefu.

Hii nchi ni yetu sote.
Ndugu, pokea ukweli.

Wengi wanaopinga maovu yanayofanywa hivi sasa, sio wanaonufaika , ila wanapinga chama kinavyoharibiwa.

Chama kimejenga vijana wake kwa muda mrefu, leo nafasi wanapewa watu waliocjukiwa na vyama vyao na walikaribia kubwagwa, wakamwaga manyanga na kukimbilia ccm. Wale waliosata uhai wao wote, na waliokipigania chama kwa nguvu zao zote wamekuwa si chochote na lolote.

Chama kimeshikwa na watu wasiotumia busara. Kinachotakiwa ni kujirekebisha, kusikilazana na kuheshimiana.
 
Ccm kimekuwa chama kikongwe sana barani Africa ambacho mpaka Leo kipo madarakani lakini ni chama ambacho kwamiaka yote hiyo kimeshindwa kutufikisha watanzania mahali ambapo tulipaswa kufika kimaendeleo kulingana na rasilimali zilizopo nchini. Ni ukweli usiofichika Kwamba kuna wachache ndani ya Ccm Kwa muda mrefu wamekuwa wanufaika wakuu wa rasilimali za nchi wengine tukiumia.

Naufurahia mgogoro ulioanza ndani ya Ccm maana wanufaika na watu waliotutesa Kwa miaka mingi Kwa kula mkate Wa taifa peke yao wameguswa/wametikiswa na kiukweli hawatakubali ndio utakuwa mwisho wao pamoja na chama chao cha kifisadi. Watanzania sio wajinga tena waking'ang'ania chama wataachiwa ila watanzania tutaamua maana tuliwaona tukawasikiliza tukawapa nafasi lakini walituumiza sana sasa sisi tunamjua tunayemtaka vyovyote itakavyokuwa ila tutamchagua huyo.
Kwaheri Ccm yamafisadi mmetuumiza Kwa muda mrefu.

Hii nchi ni yetu sote.
Usitegemee kama kitaondoka tumejijenga toka chini kwenye mashina hadi juu tofauti na vyama vingine vya hovyo.
 
Back
Top Bottom