Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,287
- 2,437
Kwa mgogoro huu kutetereka CCM bado sana!!!
ikifa CCM kipi kiingie? vyama vya upatu ?
Mwisho wa CCM ni mwaka 2020 ambapo chama hiki kitafutika kabisa ndani ya bara la Afrika na kusahaulika. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali kuwarudisha hawa mafisadi na wachumiatumbo wakubwa madarakani.
Usiku hukulala nini? Mbona unaota mchana?
Matanga yatakuwa wapi?
Kuwa mpole kada mtiifu wa ccm! Mna miaka michache sana ya kuvaa hizo nguo zenu za kijani.
Ina maana vyama vyote vya ukombozi barani Afrika vilivyokufa vilikuwa havikujisimika vijijini isipokuwa CCM pekee.
Mbadala ni chama kipi sasa?Ccm kimekuwa chama kikongwe sana barani Africa ambacho mpaka Leo kipo madarakani lakini ni chama ambacho kwamiaka yote hiyo kimeshindwa kutufikisha watanzania mahali ambapo tulipaswa kufika kimaendeleo kulingana na rasilimali zilizopo nchini. Ni ukweli usiofichika Kwamba kuna wachache ndani ya Ccm Kwa muda mrefu wamekuwa wanufaika wakuu wa rasilimali za nchi wengine tukiumia.
Naufurahia mgogoro ulioanza ndani ya Ccm maana wanufaika na watu waliotutesa Kwa miaka mingi Kwa kula mkate Wa taifa peke yao wameguswa/wametikiswa na kiukweli hawatakubali ndio utakuwa mwisho wao pamoja na chama chao cha kifisadi. Watanzania sio wajinga tena waking'ang'ania chama wataachiwa ila watanzania tutaamua maana tuliwaona tukawasikiliza tukawapa nafasi lakini walituumiza sana sasa sisi tunamjua tunayemtaka vyovyote itakavyokuwa ila tutamchagua huyo.
Kwaheri Ccm yamafisadi mmetuumiza Kwa muda mrefu.
Hii nchi ni yetu sote.
Mkuu huku niliko najiona nipo huru kujadili chochote, nikija huko nitaji limit sana.Plus uongozi bora.Karibu Quinine mtaa wa pili tujenge nchi
Unafikiri CCM ikifa Tanzania itafutika, hata Kenya walidhani Kenya haiwezi kwenda bila KANU.Mbadala ni chama kipi sasa?
Jemadari asiyeyumba anayejificha nyuma ya Msiba...ha ha haa!Ndoto za mchana ccm ipo na itakuwepo na kama mlishindwa kuizika enzi zile sembuse enzi hizi? Chama kikiongozwa na comrade asiyeyumba JPM ,mtasubiri sana,
Lete ushahidi siyo kufanya mambo ta kusadikikaJemadari asiyeyumba anayejificha nyuma ya Msiba...ha ha haa!
Wewe akili yako finyu unadhani kila anayezungumza huku ni Chadema.Ama kweli,mbona hicho chama mnakipandisha hadhi hivyo. Inaelekea haulali ukifikiria Hilo lichama,angalia Uta kufa na pressure kumbe hata unayempigia gitaa haelewi ni muziki gani unacheza na anaendelea kukushangaa tu.Utakufa wewe na kuicha CCM inapete. CHADEMA ndiyo wanaweza kufa sio gar kubwa