Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,792
Ronaldinho gaucho alifiwa na baba yake akapata taarifa kwa kuwa walikuwa na mechi muhim akawaambia atacheza tu,
Baada ya kufunga gori alilidedicate kwa baba yake anaonekana mwenye uchungu aise mzazi anauma sana ona , alipata ujasiri wa.kufunga goli pekee la kuwapa ubingwa,
Baada ya kufunga gori alilidedicate kwa baba yake anaonekana mwenye uchungu aise mzazi anauma sana ona , alipata ujasiri wa.kufunga goli pekee la kuwapa ubingwa,