chumanil
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 121
- 73
Habari wakuu humu ndani.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nataka mnijuze wajuzi au kuujuza wale ambao wapo kama mimi,hawajui.naami kira MTU hujivunia asili Mali za kwao.nani ufahari ulioje kutumia ZOA lililo tokana na jasho lako.hivyo mnijuze"BIDHAA GANI ILIO BUNIWA NA MTAZANIA AMBAYO IKO,NA INATUMIKA DUNIANI KOTE?
Mana kira nikionacho,na kutumia ni asali ya ulaya.hua najiuriza sana juu ya hilo.je hatuna wavumbuzi?
Nawasikisha kwenu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nataka mnijuze wajuzi au kuujuza wale ambao wapo kama mimi,hawajui.naami kira MTU hujivunia asili Mali za kwao.nani ufahari ulioje kutumia ZOA lililo tokana na jasho lako.hivyo mnijuze"BIDHAA GANI ILIO BUNIWA NA MTAZANIA AMBAYO IKO,NA INATUMIKA DUNIANI KOTE?
Mana kira nikionacho,na kutumia ni asali ya ulaya.hua najiuriza sana juu ya hilo.je hatuna wavumbuzi?
Nawasikisha kwenu.