Wamekuambia wanacho hicho Kifaa? au ni Kiherehere chako tu ili tukujue kuwa unajua Mambo na ni Mtu wa Maisha ya Juu wakati tunaokujua 'Physically' tunajua kuwa una Dhiki mpaka katika Kope zako za Macho.
Wamekuambia wanacho hicho Kifaa? au ni Kiherehere chako tu ili tukujue kuwa unajua Mambo na ni Mtu wa Maisha ya Juu wakati tunaokujua 'Physically' tunajua kuwa una Dhiki mpaka katika Kope zako za Macho.