Kifaa cha kisasa kinachorusha internet kwa njia ya wireless kwa kutumia line za simu

YEYOTE MWENYE NOKIA YENYE WIFI b/g and n anaweza kutumia simu yake kama access point kuna application inaitwa JOIKUSPOT ni nomaa inafanya kazi kama ya mifi alivyoeleza jamaa hapo juu unaweza ku access internet kwenye ipad,iphone,smartphone,laptop kwenye simu yako. Jinsi inavyofanya kazi inatumia internet ya simu yako kwa ku transmit wireless signals in short ni ya ukwelliiiiiii anayehiitaji ani PM.
joikuspot-.jpg
 
nenda kwenye settings: wireless and networks: tethering.& portable hotspots
inachukua sekunde tu.
hakuna haja tena ya modems au hiyo mifi

Mkuu Mpinga Shetani, nahitaji kujua simu uliyokuwa nayo ni brand gani Samsung,HTC, Nokia...... ambayo ina run android na kukaa na chaji masaa yote hayo?

Nilishawahi kutumia HTC Chacha ina option kama hivyo unavyozungumza ila tatizo kubwa na kukaa na charge.
 
Bei yake kwa nje inakaribia dola 70 sasa piga mahesabu gharama za kusafirisha, ushuru n.k Unadhani tumepanga bei kubwa hapo?

Kwa leo USD 70 NI SAWA NA Tsh. 110706 tu. yani unauza 270000 kwa kisingizio cha ushuru na nauli? okay lakini ni too cost bora kununua online toka ebay au At&t.
 
Kwa leo USD 70 NI SAWA NA Tsh. 110706 tu. yani unauza 270000 kwa kisingizio cha ushuru na nauli? okay lakini ni too cost bora kununua online toka ebay au At&t.

Sio kisingizio mkuu cuz kutuma MiFi moja hadi ifike huku ni dola 50
 
Mimi nakusifu Young_master,wengi tunaokukandamiza maswali plus masimango,hatukuwahi hata kuelezea kuwa kuna kitu hiki au njia hizi zisemwazo.
Tuvumilie,iwe vipi umetufungua macho,jamani nyinyi mnaojua sana,mbona huwa hamyasemi mpaka muone kina YM wamesema ndio mnagawa hiyo elimu?
Cheers!
 
Mimi nakusifu Young_master,wengi tunaokukandamiza maswali plus masimango,hatukuwahi hata kuelezea kuwa kuna kitu hiki au njia hizi zisemwazo.
Tuvumilie,iwe vipi umetufungua macho,jamani nyinyi mnaojua sana,mbona huwa hamyasemi mpaka muone kina YM wamesema ndio mnagawa hiyo elimu?
Cheers!

Thanks mkuu.
 
dyuu beii
Mimi nilichokiona bongo huwa tunatafuta faida kubwa sana kwa bidhaa zetu...nadhani faida ya 10-20percent ni nzuri tu, lakini mara nyingi tunaenda mpaka 200 percent. Matokeo yake anakuja mwenye kutaka kufanya biashara anachota fedha.
 
Mimi nakusifu Young_master,wengi tunaokukandamiza maswali plus masimango,hatukuwahi hata kuelezea kuwa kuna kitu hiki au njia hizi zisemwazo.
Tuvumilie,iwe vipi umetufungua macho,jamani nyinyi mnaojua sana,mbona huwa hamyasemi mpaka muone kina YM wamesema ndio mnagawa hiyo elimu?
Cheers!

Ni baada ya kuona watu wanakaribia kuibiwa.
 
mkuu hii speed ya sasa ya hawa kina voda et al najikongoja sasa nikishare mpaka pc tano si itakuwa nangojea wiki kufungua email
 
YEYOTE MWENYE NOKIA YENYE WIFI b/g and n anaweza kutumia simu yake kama access point kuna application inaitwa JOIKUSPOT ni nomaa inafanya kazi kama ya mifi alivyoeleza jamaa hapo juu unaweza ku access internet kwenye ipad,iphone,smartphone,laptop kwenye simu yako. Jinsi inavyofanya kazi inatumia internet ya simu yako kwa ku transmit wireless signals in short ni ya ukwelliiiiiii anayehiitaji ani PM.
View attachment 51574

AnSANTE.. hii Application ninayo kwenye cmu lakini ckujua kazi yake...
 
je speed yake kwenye computer 10 ikoje?
na je ina uwezo wa kuhudumia kompyuta zaidi ya hizo nilizotaja hapo juu kwa masaa mangapi?
 
Back
Top Bottom