Salaam
wa mwezi sasa kimetokea kidonda kwenye njia ya uume pale uwazi, kidonda hiki hakiumi nilienda fanya urine culture na UTI hawajaona tatizo pamoja na blood culture hawanaona tatizo niliambiwa damu safi kabisa na mkojo hakuna mdudu aliyeota.
Samahani kwa pocha kama itawasumbua. Naombeni ushauri hii ni nini nimejaribu google hamna dalili ya std inaofanana na hali yangu.
wa mwezi sasa kimetokea kidonda kwenye njia ya uume pale uwazi, kidonda hiki hakiumi nilienda fanya urine culture na UTI hawajaona tatizo pamoja na blood culture hawanaona tatizo niliambiwa damu safi kabisa na mkojo hakuna mdudu aliyeota.
Samahani kwa pocha kama itawasumbua. Naombeni ushauri hii ni nini nimejaribu google hamna dalili ya std inaofanana na hali yangu.