Kidonda gotini: Nisaidieni

SILENT ACtOR

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
627
181
Wana JF!

Mama yangu alidondoka na kuteguka mguu. Wakati akiendelea na matibabu alikandwa mguu na bahati mbaya ganda likatoka gotini na kufanya kidonda. Kila apatapo nafuu kufanya mazoezi, maji hutoka penye kidonda na kukitonesha.

Je tutumie tiba gani kukomesha maji yasitoke gotini?
 
Ngumu kukusaidia kwa short story uliyotoa ... but the 1st thing popped in my mind ni arthritis sababu inatokea sana kwa wazee age > 50 na hayo maji (pus) ni product ya inflammation ... nitakupa symtomps za arthritis kama anazo then nenda kwa dactari aende akaangaliwe zaidi kuhusu huu ugonjwa ..

What is Arthritis -

Ni ugonjwa unaotokana na Inflammation katika joints (moja/zaidi) .

Nini inasababisha huu ugonjwa -

An autoimmune disease
Broken bone
General "wear and tear" on joints
Infection, usually by bacteria or virus

dalili zake -

Joint pain


Joint swelling


Reduced ability to move the joint


Redness of the skin around a joint


Stiffness, especially in the morning ( mgonjwa anakuwa hawezi kukunja ngumi / ama anakunja lakini ina kuwa weak )


Warmth around a joint (kuna kuwa na joto ile sehemu ya joint )

kama mama ana dalili kama hizo hapo juu mpeleke hospitali suggest kwa dactari huu gonjwa akikubaliana na wewe mpatie mama tiba .

mpe pole bimkbuwa
 
Muwe mnakanda na maji ya baridi au barafu bana ona sasa:attention:. Mpe mama pole sana. GOD BLESS HER.
 
Back
Top Bottom