Rancho Chand
Senior Member
- Nov 4, 2012
- 150
- 71
Nyie ndio wale mnaomini kufeli sana ndio sifa.....kama wahadhiri wa UDSM.
Fukin hell bro. Kila madhaifu ni kosa la mtu mwingine.Wanamtandao kipindi hicho walimhujumu Kikwete na serikali ionekane haifai kila sehemu wakiandaa kuupa upinzani nchi 2015 kipindi hicho kila kona mtandao ulikuwa na timu yao ya hujuma
2009 acha tu kaka. Wengine tulipita kwa mkono wa Mungu. Otherwise.. div 4 zilikiwa za kumwaga na 0Form four ya 2012 si ndo mligaiwa maks za burebure.
Ile nayo ujinga tu.
Form four ya kiume ni ile ya 2009
Umekumbusha mbali mkuuuMimi naona form 4 ya 2009 ndo ilikuwa DUME.
ambapo kwenye mtihani wetu wa taifa wa form 2 mwaka 2007.
PEPA LILIVUJA.
walikataa walikataa
Walitukomoa sanaa.
Tuliteseka wote mkuu. Somo la Chemistry ulio ulikuwa moto wa kuotea mbali aisee.Nilimaliza form 4 mwaka 2012
Picha linaanza matokeo yametangazwa nipo kwa jamaa angu tunasonga ugali tule,,dah ugali haukupita maana washikaji wapo internet cafe wanasema oya tupe namba tukuangalizie ila dah watu wamefeli sana dah nikaona jau nikachuna pale tulienda wanafunzi 5 tuliotoka wote shule ya msingi na tukapata marafiki huko ila kati ya sisi watano ni mimi tu pekee nilitoboa(japo matokeo niliangalia baada ya siku 2) na washikaji sio kama walikua wabaya.
Nafika home nyumba nzima wamejaa wananisubiri aisee ,nikakaa kimya sikutaja mpaka nilipoona shwari mara tukasikia yanashihishwa upya.
Shikamoo Ndalichako ulitunyoosha.