Habari zenu.
Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.
Ahsanteni.
Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.
Ahsanteni.