Kidato cha 5 kupangiwa shule

Kidato cha 5 kupangiwa shule

NAKWEDE

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2007
Posts
27,972
Reaction score
35,192
Habari zenu.

Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.

Ahsanteni.
 
Bado hawajapangiwa wewe endelea kusubiri utapata taarifa tu.
 
Habari zenu.

Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.

Ahsanteni.
Kumbe unasoma?!
 
Tuombe tu kuwe na muda wa kutosha kati ya selection kufanywa na shule kufunguliwa vinginevyo itakuwa tia maji tia maji kwa wale watakao kosa selection wakitegemea shule za serikali.
 
Tuombe tu kuwe na muda wa kutosha kati ya selection kufanywa na shule kufunguliwa vinginevyo itakuwa tia maji tia maji kwa wale watakao kosa selection wakitegemea shule za serikali.
aiseee!!!
 
Habari zenu.

Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.

Ahsanteni.
kuna shule private (hamtapata mikopo) walianza mwezi wa tatu! wakifaulu, mara oh wametazamia, walinunua paper etc!
 
Back
Top Bottom