Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Cheki amejiunga lini JF. Huyu atakuwa muhenga wa JF.Kumbe unasoma?!
Cheki amejiunga lini JF. Huyu atakuwa muhenga wa JF.Kumbe unasoma?!
Those days mfumo wa kopyuta pamoja na kwamba haukuwa mzuri lakini bado ilikuwa mwezi 4 ama 5 mwanzoni tayari wanatoa...dawa yake hapa ni kujiandaa kwa private tu ili yakija mtoto amepata shule ya serikalini anaenda zakeTuombe tu kuwe na muda wa kutosha kati ya selection kufanywa na shule kufunguliwa vinginevyo itakuwa tia maji tia maji kwa wale watakao kosa selection wakitegemea shule za serikali.