Wana JF naomba kuuliza na labda kuna watu wengine pia wangependa kujua.
Mkuu kibweka ni mtu wa namna gani?
1:Ni mpole sana au mkali.
2:Ni mtundu au mkimya.
3:Ni mcheshi au mkimya.
4:NI mpweke au ni mtu wa watu.
5:Ni mtu wa totos au la.
Simuongelei kwa mabaya na asinichulie ubaya.Ni post zake zinafurahisha na zaina moja.
Mkuu kibweka tunasubiri picha za lala salama.Asante.