Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
Huwa namwambia mbona wanaume tuko wengi lakini yeye
anasema hawaoni kaniona mimi tu sasa sijui huyu kibuti gani kitamfaa..??
Ukiona hvo anataka mtaji huyo.
Huwa namwambia mbona wanaume tuko wengi lakini yeye
anasema hawaoni kaniona mimi tu sasa sijui huyu kibuti gani kitamfaa..??
Dawa ya ugonjwa gani sasa?
Unajua unaweza kushangaa kila ukipika chakula hakiwivi, kumbe mkaka wa watu anamlilia Mungu huko. Laana sio mpaka uokote makopo ati?
Hahahaah!! Sipigwi kibuti hata ukiingiza fitna zako.
Hahahaah!! Sipigwi kibuti hata ukiingiza fitna zako.
Ninaye mmoja tu mwaka wa kumi sasa, kabla yake nilikuwa ni mzee wa "hit and run"Mkuu hapa kuna hadithi ndefu naona,sasa kama hupigwi kibuti wewe huwa unawapa au huwapi za mbavu..??Na kwa msimamo huo unao wangapi kwa sasa..
Na nyie mmezidi sasa.
Na dawa yenu ni kujiendeleza kibiashara ili mpenzi wangu awe pesa!!
Tuone kama hamjaniganda.
Ninaye mmoja tu mwaka wa kumi sasa, kabla yake nilikuwa ni mzee wa "hit and run"
Ukiona hvo anataka mtaji huyo.
Kujiendesha kibiashara sio kufanyiana heartbreak ngumu ivo. Unless uniambie story yako sio ya kweli...
mwanivunja mbavu mie.....
Kijino unasemaje mama wewe ulishawahi kupigwa kibuti..??
ckumbuki kama nishawahi kupigwa kibuti, ila me ndio nawapiga, ila sio cha dharau, mana hao niliowapiga nikikutana nao ni salam na vicheko kwenda mbele.
Hongera mama kwa kutopigwa kibuti,hapa nafikiri tu lakini kati yangu mimi na wewe nani atampiga kibuti mwenzake..?
dah! Hapo chacha, ila mimi na wewe hamna kupigana vibuti, au vibuti vyetu vya kimyakimya ila tunaendelea kuwasiliana tucwape faida marafiki.
Daaaaaah hii kali hivi vibuti vingine bhana! Duu uku ni kuvunjiana heshima na utu!
kuna vile vibuti mtu hapokei simu wa kujibu SMS....yaan kimya kimya
Hivi inaruhusiwa kuweka pingamizi mahakamani ukipigwa kibuti..??