Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

maneno mazuri ila vibuti vinachusha akili na mwili
 
Mi sijawahi kupigwa ila mie ndo huwa nawamwaga na kuwamimina!
 
Mkuu una roho ngumu unafukuzia miaka mitano ???

We ulibeep yeye akakupigia kabisa hahaha!

ha ha ha....mwenyewe ukajua umemkomesha....si ajabu ulikuwa unajaribu mwenzio akafanya kweli....
Alitingisha kiberiti kilichojaa lol!
 
wanaopiga vibut ni wachache sana now day,wengi nowdays ni ving'ang'abizi hata kama uko covered tena ukiwa na mshiko au ka mkoko ndio usiseme,full kujikita.
 
yaaani mkuu kabla sijachangia nianze kwa kusema hii topic imeugusa moyo wangu sana.
 
sasa mimi kidogo ninavyo vingi,ila nakumbuka wakati nipo advance kama form6 ivi,nilimiminwa a.k.a technical sup. Ishu ilikuaje unajua? kuna manzi nlikua namdate mtoto wakiarachuga alihamia pale skonga. daah mtoto alikua mkare balaa,mtu mzima nikatest zali mambo yakajipa. hatukuchukua wiki kadhaa jamaa flan ambae alikua classmate wake akaaanza kumchukua,nikimuuliza anasema n marafiki tu. but nikaona huu urafiki unavuka mipaka nikahisi kuna kitu kinaendelea kimejificha. sitasahu siku aliyokuja kuniuambia,'mzee wa loliondo kuliko uje kusikia kwa watu wengine,nakwambia mimi mwenyewe kwamba sikutaki tena na kwasasa natoka na xxxx kwaio endelea na maisha yako'. at dat time iliniuma mbaya af ilikua karibu na kipindi cha mitihani but nilipiga moyo konde nikamaliza pepa nikasepa na matokeo yakaja nimechanambaya nikasepa zangu mavyuo. kumbe alikua anasoma form5 huku anarisit so akakosa credits nakutambaa akaenda chuo kusoma certf af mbaya zaidi akaja chuo ninachosoma. kudadadeki, mambo ya dushelele,yule jamaa akampotezea af akakuta mkuu nimekaa sehemu nyingine a.k.a no vacancy. daaah,ebana ninavyo vingi ila ngoja nitoe fursa kwa wakuu wengine kutoa nao madukuduku yao
 
demu aliniambia ameamua kuokoka kwahiyo tuachane!baada ya siku kadhaa napata taarifa kaolewa!
 
duu! Mi bado nampenda sana dada m1 aliyenipiga kibuti,actually sidhani kama ntaweza kumsahau! Nlim2mia "dedication ya wimbo wa think twice before live" naye akajibu kwa dedication ya "Its my time to live on my own" Ila namshukuru MUNGU amenipa mke anayefanana na mimi. Na yule dada till now,
hajapata m2, ni mzuri ila ana
complex personality. Sometimes huwa namshukuru MUNGU kwakuniepusha naye. Vibuti vinamaana yake frnds. Its just natural selection, DON'T GIVE UP.... Ukipigwa.
 
Yaani umeshapata mwingine ila bado unampenda sana? kwa hiyo huyu wa sasa bado unamdanganya? jitahidi umsamehe na na ukiweza kumsamehe utamtoa akilini mwako, bila ya hivyo hutaweza ku move on
 
duu! Mi bado nampenda sana dada m1 aliyenipiga kibuti,actually sidhani kama ntaweza kumsahau! Nlim2mia "dedication ya wimbo wa think twice before live" naye akajibu kwa dedication ya "Its my time to live on my own" Ila namshukuru MUNGU amenipa mke anayefanana na mimi. Na yule dada till now,
hajapata m2, ni mzuri ila ana
complex personality. Sometimes huwa namshukuru MUNGU kwakuniepusha naye. Vibuti vinamaana yake frnds. Its just natural selection, DON'T GIVE UP.... Ukipigwa.
 
me nakumbuka nilipigwa kibuti na demu wa kwanza kutongoza nikiwa form 1. alinifanya niogope vibuti sana mpaka leo hii kwa sababu ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kutongoza na kupigwa kibuti hapohapo. baada ya hapo nikawa nikitongoza demu na akinikubali na kuingia naye kwenye relationship nakuwa nae makini , nikimuona simuelewielewi kama anataka kupoteza direction namuwahi mimi kumpiga kibuti kabla hajanipiga yeye. Na yule demu wa kwanza nlikuja kumtongoza tena baada ya miaka saba na kunikubali , na ni mmoja wapo ya niliowawahi kuwapiga kibuti coz nilihofia asije nipiga kwa mara ya pili. so kwangu me kama demu anatikisa kiberiti inakula kwake.
 
<br />
<br />
sasa je we c unakumbuka tonya aliwah kuimba spare tyre lazma uwe na backup folder bana.
 
Mi kuna mmoja humu nampenda, kwa jina nahisi vile vile ni mzuri,,lakini naogopa kibuti.
<br />
<br />
mkubwa we utakua player tu izo za kupenda majina jiangalie utaishia kupata mademu wa hivihivi tu.
 
<br />
<br />
Hongera sana mkuu...
kwa hiyo kila kibaya kina uzuri ndani
Yake ama kitu kizuri kitajitokeza kutoka humo.

Congrats....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…