Kiburi na Kaburi

Kiburi na Kaburi

Gilbert A Massawe

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
6,180
Reaction score
5,001
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
 
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
Mwisho wa uhai ni KIFO, tena Mimi nikiwa nimepiga mvinyo kwani kifo ni nini?

Kwa vyovyote lissu , polepole watakumbukwa vizazi na vizazi

min -me , ndio naanza weekend muda huu tupige Tungi kakaaa
 
Mwisho wa uhai ni KIFO, tena Mimi nikiwa nimepiga mvinyo kwani kifo ni nini?

Kwa vyovyote lissu , polepole watakumbukwa vizazi na vizazi

min -me , ndio naanza weekend muda huu tupige Tungi kakaaa
haha hawa wacheza kibao kata akina Juma lokole?

Nani amamkumbuka tena Mvungi, jasusi alieasi Mtikila?

Haha amuijui dunia.

Anakumbukwa Yesu na Mtume tu boss
 
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
Labda kama una babu yako anayetumia jina la Mandela. Otherwise, Mandela tunayemjua sisi hakuwahi kuwapigia magoti watesi wake!
 
Dua la Kuku....
Nasikitika tu kwamba hautauona Mwisho wa Kesi hii wewe hapo ulipo....
Hahah sawa.

Wenzio walisema jiwe akifa nitapotea.

Njoo Summy Russia najenga kiwanda kikubwana kuwa mtanazania wa kwanza kuwekaza Ulaya kiwanda cha drone.

Mnadhani mimi nawaza kwa hisani ya Elfu 10 mnazoepewa nyie Chapati( Chadema)
 
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
Wangese ni nyinyi machoko mnaopumuliwa na Abdul
 
Hahah sawa.

Wenzio walisema jiwe akifa nitapotea.

Njoo Summy Russia najenga kiwanda kikubwana kuwa mtanazania wa kwanza kuwekaza Ulaya kiwanda cha drone.

Mnadhani mimi nawaza kwa hisani ya Elfu 10 mnazoepewa nyie Chapati( Chadema)
Nyie machoko mnaopewa buku saba Kwa ujinga wenu siku nchi ikikombolewa mtachagua either mfe au mkimbie nchi.
 
Hahah sawa.

Wenzio walisema jiwe akifa nitapotea.

Njoo Summy Russia najenga kiwanda kikubwana kuwa mtanazania wa kwanza kuwekaza Ulaya kiwanda cha drone.

Mnadhani mimi nawaza kwa hisani ya Elfu 10 mnazoepewa nyie Chapati( Chadema)
Cha kufikirika..kama unaona hapo kuna kesi ya kunyongwa Mtu..basi.akili ya kujenga Kiwanda huwezi kuwa nayo....!!?
Ni ndoto za Uchawa na za mchana kweupeee..
 
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
huyo labda mandela wa tandale :pedroP:
 
uzuri hamna akili.
Unadhani Ndela alipewa nchi kiboya tu.

Jidanganye.

Shida mnajifanya mnajua kumbe boga tu.

Endeleeni na umandela fakeni mtajua mbele
Hakuna unachojua. Vita vya ukombozi sio kilimo cha nyanya—kwamba baada ya miezi mitatu unavuna. Vita vya ukombozi ni harakati endelevu. Sehemu kubwa ya matunda yake hailiwi na first generation ya wapigania ukombozi. Wengi wanakufa kabla ya ushindi kupatikana. Dr. Martin Luther King, for example, didn’t live to see the civil rights he fought for come to pass. That’s okay, no regrets!
 
Sifa, Kiburi, Jeuri.

Umekumbatia Boksi la Mbao kiboya sana

Unakumbatia Jokufu la baridi kiboya sana.

Unadhani watakukumbuka? Haha .

Mandela alikua ana akili akua na ubishi wa kingese mbele ya watu wema.

Tulikuambia nenda malizana nae ukajiona mjanja.

Sawa mwanetu ( Ropo ropo)

GM- Summy Russia
Kiburi cha duniani kina mwisho wake, na mwisho huo hautofautishi mwenye pesa, cheo wala jina. Mwisho wa safari kila mmoja anabaki na boksi lake la mbao, bila sifa, bila jeuri, bila ubishi.

Lakini hoja kubwa si kwamba utakufa—hilo tunalijua. Hoja ni utakumbukwa kwa jambo gani baada ya kuondoka? Mtu anaweza kuwa na nguvu leo, lakini akawa historia kesho.

Kwa hiyo kabla ya kumdharau mwenzako, kumuita mjinga au kujiona umemzidi kila mtu, kumbuka: kaburi halihitaji kiburi. Dunia ni ya muda, heshima ndiyo urithi.

Tupunguze jeuri, tuongeze utu. Maana mwisho wa wote ni mmoja.
 
Back
Top Bottom