Msoleka tatizo ni pale unapojitahidi kujarib kujishusha lakin mwenzio wala hakutafuti hajali lolote.Upo online, yupo online lakini kila mtu yupo busy na mambo yake, mnashindana nani awe wa kwanza kumsalimia mwenzake, kiburi, dharau vimejaa mioyoni mwenu, penzi lenu lipo tu kutambulisha kama nanyi ni wapenzi, hakuna raha wala amani katika uhusiano wenu kwa sababu hakuna anayetaka kujishusha, kaka zangu na dada zangu kuheshimiana na kutambua thamani ya mwenzi wako kwako ni silaha kubwa katika kuudumisha upendo wenu
Msoleka
Mimi mabinti wa aina hiyo nawapenda sana lazima atanyooka tu kwa dharau nitazomuwekeaUpo online, yupo online lakini kila mtu yupo busy na mambo yake, mnashindana nani awe wa kwanza kumsalimia mwenzake, kiburi, dharau vimejaa mioyoni mwenu, penzi lenu lipo tu kutambulisha kama nanyi ni wapenzi, hakuna raha wala amani katika uhusiano wenu kwa sababu hakuna anayetaka kujishusha, kaka zangu na dada zangu kuheshimiana na kutambua thamani ya mwenzi wako kwako ni silaha kubwa katika kuudumisha upendo wenu
Msoleka
Ila kujishusha pia kuna Mwisho mkuu. Yani Mimi ndo nikutafute wewe tu? Kwa kifupi asiemtafuta mwenzie Hana mapenzi na wala hajali.Umenena vyema mkuu kun muda lzma mmoj awe mjinga ili mambo yaendelee
Sio kua mjinga kilichopo ni kwamba. .Siku zote busara na hekima vinapotumika. .mambo yataenda vizuri ..kiburi na dharau havina faida yoyote sana sana watu watazidi kuumizana kihisiaUmenena vyema mkuu kun muda lzma mmoj awe mjinga ili mambo yaendelee
Jamii zetu za ki Africa zimetawaliwa na negativity sana sio wanawake sio wanaume kila mmoja anataka,aonekane yeye ndo wa muhimu kuliko mwenzake but ukikutana na grown up couples huwez kutana na issues km hzIla kujishusha pia kuna Mwisho mkuu. Yani Mimi ndo nikutafute wewe tu? Kwa kifupi asiemtafuta mwenzie Hana mapenzi na wala hajali.
Upendo tu mkuu. Kwanza mkipendana hamuwezi discuss issue ndogo Kama hii ya nani aanzs kumtafuta nani. Mmoja asipompenda mwingine haya lazima yaonekane.Jamii zetu za ki Africa zimetawaliwa na negativity sana sio wanawake sio wanaume kila mmoja anataka,aonekane yeye ndo wa muhimu kuliko mwenzake but ukikutana na grown up couples huwez kutana na issues km hz
Kwanini tusitaftane, huo ni utoto wa hali juu!!!Upendo tu mkuu. Kwanza mkipendana hamuwezi discuss issue ndogo Kama hii ya nani aanzs kumtafuta nani. Mmoja asipompenda mwingine haya lazima yaonekane.
Kama hamna mapenzi. Mwenye mapenzi zaidi ndo atakua anakutafuta asubuhi mchana jioni. Ikifika muda anaona yeye tu ndo Ana jukumu LA kukuchek anachoka anasepaKwanini tusitaftane, huo ni utoto wa hali juu!!!
Hahahahaaa. Huyo mwanamke mtataAlikuwa na tabia hiyo, nilinyamaza, akanyamaza, mpaka leo hii.