Kiongozi jitahidi kuacha yako uliyonayo, bali ita vikundi mbalimbali jadili nao. Viongozi Wa siasa, dini, NK mbona watanzania wapole tu. Ila ukishupaa utaona moto Wa kiburi
Yaani.Binafsi nahisi kuna laana fulani inatembea au Mungu anafanya makusudi wawe na roho ngumu kama farao ili awamalize kwa magonjwa na pressure za GZ.
Imagine hadi ile 98% mtu bado anaitetea, jicho kavu kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.