Kiburi cha Madaraka

Kiburi cha Madaraka

Fafanua?

Mbona tunaona maccm yanavunja Sheria hovyohovyo na wala hayachukuliwi hatua?

Umeona wapi nisahihi watu wabebwe kwenye maroli ama ma tractor? Hukuona kwenye uchaguzi(kampeni)?
Tujikite kwenye mada bwashee

Hapa siyo CCM vs MTUMISHI bali ni MTUMISHI vs POLISI

Askari kamwambia kwa uungwana bwana sogea mbele kidogo ukatangaze injili sasa kosa la askari ni nini

We unaweza kwenda kupiga injili kwenye lindo la benki...?
 
Tujikite kwenye mada bwashee

Hapa siyo CCM vs MTUMISHI bali ni MTUMISHI vs POLISI

Askari kamwambia kwa uungwana bwana sogea mbele kidogo ukatangaze injili sasa kosa la askari ni nini

We unaweza kwenda kupiga injili kwenye lindo la benki...?
Kwanza hatujalimitiwa kuwa tusitoke nje ya madam hilo ni1

La pili police anatakiwa athibitishe kauli yake kuwa Mungu hasikii maombi yakitolewa sehemu isiyo sahihi.

Je police amekuwa msemaji wa ikulu ya mbinguni?

Je anaweza kutuambia alijuaje kuwa Mungu hasikii maombi yanapotolewa barabarani?

Mwisho police alitakiwa kusema tu ONDOKA HAPO KAFANYIE PALE INJIRI YAKO sio kuanza kuwa msemaji wa Mungu.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Ila dogo kawaweza sana! Amekuwa humble down to earth, akawamaliza kabisa! Amewaachia tafakuri kubwa sana
Uhakika kabisa ...jama anajua anachokifanya na katika mazingira yoyote...kitendo Cha police kuanza vitisho eti nikuweke humu ni udhihirisho mkubwa kuwa police wengi ni wajinga sana wao na wake zao pia watume zao
 
Ila dogo kawaweza sana! Amekuwa humble down to earth, akawamaliza kabisa! Amewaachia tafakuri kubwa sana
Nimejifunza..umaskini wa fedha na fikra huwa ni vitu vibaya sana.

Kuna mazingira ukikulia unakuwa na maneno mengi kama askari.

Ilikuwa tu kiungwana kama alivyomwita jamaa yule wa kwanza.
Mzee hapa sogea paleeee in a simple way.

Si Askari wote ila wengi wao wako na stress kubwa sana mbaya zaidi aina ya kazi huchochea zaidi kuwa na roho za hovyo mno.

Si hao tu..hata huku maofisini kuna wakuu wa vitengo na wafanyakazi kwa kuwa tulikulia mazingira ya shida..sehemu za kazi zimetufanya tuwe na roho pana za vitisho na dharau kibao.
 
Tujikite kwenye mada bwashee

Hapa siyo CCM vs MTUMISHI bali ni MTUMISHI vs POLISI

Askari kamwambia kwa uungwana bwana sogea mbele kidogo ukatangaze injili sasa kosa la askari ni nini

We unaweza kwenda kupiga injili kwenye lindo la benki...?
ndio kamwambia kiungwana hivyo?

maafrika ni hamnazo yani, bara la laana
 
Mfano wa askari wasio kuwa na akili
Kijana mdogo kamshinda kwa akili na maarifa ya kuwasiliana
Wangeweza kuwa na mjadala mzuri sana kuliko kusema "nikuweke ndani"
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mfano wa askari wasio kuwa na akili
Kijana mdogo kamshinda kwa akili na maarifa ya kuwasiliana
Wangeweza kuwa na mjadala mzuri sana kuliko kusema "nikuweke ndani"
jina la uzi haliendani na video
 
Tukiacha Makasiriko.

Hii Nchi inamakelele jaman, kuanzia boda boda, kinyozi, matangazo, miziki, misiba, Vigodoro.

Kuna wakati unaweza rudi homme umechoka ukazani kazi kumbe ni makelele tu mjini.

Viongozi wapo wapo tu kama hawaoni.
 
Back
Top Bottom