Leta takwimu boss!
Nimeomba takwimu za kibu hapa unaleta mada za ahoua kweli boss?Mbona hamueleweki, mkiletewa takwimu za mtu kama Ahoua hamtaki...
haya sasa mtu Kazi kama Kibu anayeweza kuvuruga beki line ya timu yeyote,hamtaki...tuwaelewaje?
Haya , Kimataifa anapambania ufungaji bora, mpaka sasa ana goli 4 pia hamtaki..!
Dah,Mwaka Wa Tabu...!
Watakujibu ..."HATUCHEZI"...!Mbona hamueleweki, mkiletewa takwimu za mtu kama Ahoua hamtaki...
haya sasa mtu Kazi kama Kibu anayeweza kuvuruga beki line ya timu yeyote,hamtaki...tuwaelewaje?
Haya , Kimataifa anapambania ufungaji bora, mpaka sasa ana goli 4 pia hamtaki..!
Dah,Mwaka Wa Tabu...!
Washauri wamshauri aache kucheza kibinafsi...Anazingua sanaSiku izi Kawa mchezaji wa kawaida sana kwanza anakaa sana na Mali mguuni anaua move kibao .
Kibu hamna shughuli siku izi likebak jina tu