K kilangop Member Joined Feb 5, 2015 Posts 36 Reaction score 9 Jun 24, 2015 #2 Hilo linajulikana .......lipo wazi muda mrefu sana sema tu hawa cdm wametulia wanafanya yao hawataki kuhangaishana nae
Hilo linajulikana .......lipo wazi muda mrefu sana sema tu hawa cdm wametulia wanafanya yao hawataki kuhangaishana nae
M mpk JF-Expert Member Joined Sep 26, 2012 Posts 3,115 Reaction score 3,864 Jun 24, 2015 Thread starter #3 kilangop said: Hilo linajulikana .......lipo wazi muda mrefu sana sema tu hawa cdm wametulia wanafanya yao hawataki kuhangaishana nae Click to expand... Ukitaka kumshika nyoka uwe na uhakika na timing yako!
kilangop said: Hilo linajulikana .......lipo wazi muda mrefu sana sema tu hawa cdm wametulia wanafanya yao hawataki kuhangaishana nae Click to expand... Ukitaka kumshika nyoka uwe na uhakika na timing yako!
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,046 Reaction score 12,542 Jun 24, 2015 #4 Huyo mama ana kijungu cha ukwee.....:bolt:
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,835 Reaction score 14,729 Jun 24, 2015 #5 Ha ha ha Chadema wakimtupa,anaenda UDP anachukua tena jimbo!
Himawari JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 2,609 Reaction score 1,703 Jun 24, 2015 #6 Heri nusu shari kuliko .!
G geraldkowero1 JF-Expert Member Joined Jul 5, 2014 Posts 1,838 Reaction score 647 Jun 25, 2015 #7 muhomakilo jr said: Ha ha ha Chadema wakimtupa,anaenda UDP anachukua tena jimbo! Click to expand... Acha kwenda udp arudi ccm kabisa.
muhomakilo jr said: Ha ha ha Chadema wakimtupa,anaenda UDP anachukua tena jimbo! Click to expand... Acha kwenda udp arudi ccm kabisa.
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Jun 25, 2015 #8 Ah....