kibonde anaongea kitu asichokifahamu

kibonde anaongea kitu asichokifahamu

Yaani wee jamaa kila thread inayomuhusu Lowassa ni lazima utokee!....duu kazi unayo
ndugu yangu. Hivi uoni kama inajichoresha? Mkuu za mbayuwayu changanya na zako.
Shame on u
Chanda chema huvikwa pete.
 
Kibonde mwenyewe amekaakaa kama M-cameroniwa nina mashaka naye! Yaani ukimsikiliza anavoongea kwenye kipindi cha maisha ni nyumba hiyo sauti hadi hasira!! Kwenye kusukuma draft tulikuwa tunaitana we Kibonde tu huna lolote wewe!
 
Back
Top Bottom