Hivi clouds kwa nn unampa mic huyu jamaa, jioni kwenye Jahazi anasema' mara baada ya Lowassa kuwasiri Kibonde anadai waandishi wea redio ikiwemo ya clouds walimfuata mwenyewe Airport bila kuitwa wakati Lowassa aiita vyombo vya habari. Huyu jamaa anakashifu vyombo vya habari wakati yeye anatumia kupitia habari ya Lowassa anasoma ktk magazeti, na radio huku akijua Clouds pia walikuwepo. Ondoa mti huyu