little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
ukiona oil inatoka yenyewe ujue engine mbovu
Yeremia 17: 5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
Hivi ndani ya CCM kuna democrasia ya kweli au unajishaua?
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
Hivi ndani ya CCM kuna democrasia ya kweli au unajishaua?
Kiboko ya mume wako ni mimi
MMELAANIWA CCM MUMFANYAYE MAGUFULI kinga Ya MAOVU YENU MIAKA 50
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
mtu uliyemzalisha mtoto na kumtelekeza anaweza kuwa kiboko yako.?? ww ni wa kupuuzwa kama ..........
Nashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
huna hoja si ameeleza kuwa ccm mpango wake ni ukandamizaji. mnakumbuka yaliyomkuta Mangula baada ya kumsema vibaya kikwete? baadae alirudishwa kwa neema za kamati ya ushauri ya marais wastaafu kinyume cha matakwa ya jk, baada ya kuona ccm inaenda mrama au watanzania ni wepesi wa kusahau au mnasemajeNashangaa sana kuona watu ghafla wamekuwa na mapenzi na Sumaye kisa amejiunga na UKAWA. Sumaye pamoja unaUwaziri Mkuu wake hakuwahi kuwa mwanasiasa mwenye mashiko au ufuasi au mvuto.
Sumaye huyo huyo alishindwa katika uchaguzi ndogo sana wa CCM na mwanafunzi na rafiki yake wa zamani mama Mary Nagu.
Sasa kwa mwanasiasa kushindwa vita hii ndogo ataweza kweli vita kubwa?
Usikurupuke kusema usilolijua! Unajua Sumaye alishindwa na Mary Nagu katika mazingira gani? Kama kitu hukijui ni bora ukanyamaza kwa kuwa utahesabiwa hekima! Uliza wanaejua ule uchaguzi ulikuwa vipi halafu watakwambia nini kilifanyika then ndio urudi hapa kuandika huu u..p..zi