Na wewe ni mhanga wa hawa jamaa??Bora tu kwa kweli, wanakera mno.
Acha masikhara....:A S 13:Mbona mm jana mdada kanisuch zip yangu wakati tumesimama mlingoti ktk basi la kijijini? Tena akasinzia mwenye makosa nani?
Unajua na wenyewe dada zetu wanapima oil km vidume rijali
Hii kiboko.......:A S wink:Gusa unate.
Na wewe ni mhanga wa hawa jamaa??
hahahahaaah!! Pole sana.Mie nikigusana na wadada napata tabu sana.
Nina hasira za karibu
Mie nikigusana na wadada napata tabu sana.
Nina hasira za karibu
yani we acha 2,kuna wanume wengine haja zao wanamaliza ktk daladala wanawanata wakinadada ukiuliza unaambiwa km utaki kuguswa panda tax,umackini unachangia mmong'onyoko wa maadili.
Vidada vingine vinajilengesha vyenyewe, unakuta umesimama zako huna hili wala lile unashangaa kamejilengesha!! unasikilizia kabisa umewekwa kwenye ule mstari halafu si unajua visista duu vya siku hizi huwa havivai ch*p so unasikilizia bila chenga!!