Ndugu milale fanya hiv;
1.Piga picha alaf post hapa
2.Weka vipimo vya banda unalouza
3.Sema ubungo sehemu gani sbb mteja anaweza kupenda location tu akaamua kulinunua
4.Si vibaya ukasema geji ya bati uliyotumia
5.Weka na bei kabisa tena yakibiashara mfano; kisaikolojia kunatofauti kubwa kati ya tshs1,000,000/= na tshs999,999/=
Hayo tu