Kibanda amemuudhi nani?


Mkuu umejiuliza km mi.
Hivi anaishipeke yake?hana familia?
 
nawe pia inawezekana akili yako inapaswa kuchunguzwa , katika isue makini kama hii inayogusa jamii yetu badala ya kuchangia hoja za maana unaleta usiasa hapa.
 
hii nji ni mbaya kuliko tunavyodhan,na watu wanazidi kupandikiza chuki mioyoni mwao...
Balaa linatunyemelea
dini
sias
vinatupeleka kubay
 

Mkuu samahani lakini wakati unaandika hii kitu ulikuwa unakimbizwa mbona umeunganisha maneno kama mntoto anayejifunza kuandika?

Ebu jaribu kutuliza akili kwanza kabla ya kuanza kuweka mawazo hapa.
 

Mkuu kama wewe bado hujaanza kujilinda mwenyewe shaurilo, you are next..!
 
Mi nawashangaeni mnaoongeeea afu mnahitimisha kwa kuliomba jeshi la polisi lifanye UCHUNGUZI wa kina, kwa ulimboka mlisema hivyo hivyo, Kubenea pia, Mwangosi, yule mwandishi wa Kigoma, yule wa dar aliyepigwa risasi nyumbani kwake pia. Hivi bado tu mna imani na hilo jeshi..!?? Leo tu Kova kasema kilichompata Kibanda "sio kitendo cha kihalifu". bado mnaamini watafanya "uchunguzi wa kina"?
 
Tatizo waandishi hawana umoja na ni waendekeza njaa. Mwangosi ameuawa na polisi lkn bdo wanaendelea kwenda kumsikiliza Kova.ACHA WAWANG'OE MENO NA WAWATOBOE MACHO MPK MTAKAPOACHA UNAFIKI WENU
 
Wamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Angekuwa ni mwandishi wa Tanzania Daima basi shutuma zote zingeelekezwa CCM na kuna watu wangekuja humu na kujifanya wana ushahidi kama vile walikuwepo kwenye tukio. Sasa katika hili Chadema yapaswa wachunguzwe vinzuri.
 
Ukisema wamiliki wa Tanzania daima wachunguzwe huku ukidai linamilikiwa na cdm ina maana unataka cdm ichunguzwe! Hivi kwenye tukio la ulimboka ccm ilichunguzwa?

Pili, cdm imeshazoea kupambana na wasaliti kwa njia za kistaarabu. Kwa mfano madiwani wa arusha mbona hawajawahi kubugudhiwa? shonza na mwampamba mbona wanatesa majukwaani hawajahi kudhuriwa? Wahariri wa magazeti ya uhuru, mzalendo, daily news mbona hawajawahi kuteswa na cdm? Iweje huyu kibanda ambaye hana madhara yoyote kwa cdm ateswe? Kwa umaarufu gani hasa aliokuwa nao? Maadui wa cdm ni wengi na wala kibanda si mmoja wao kamwe. Cdm itaendelea kulaani vitendo vya utesaji vinavyofanywa na serikali ya ccm bila kujali itikadi ya aliyeteswa. Uvumi kama huu uliwahi kusambazwa na ccm wakati wa kifo cha mh. Wangwe eti cdm ilihusika! Kama ndivyo mbona sijaona wala kusikia kiongozi yeyote wa cdm amekamatwa? Watanzania wenzangu tuweke itikadi zetu pembeni tulaani kwa pamoja ushetani huu wa kikwete na wanafiki wenzie. Laana ya mungu i juu yao.


Wamiliki wa gazeti la Tanzania Daima wachunguzwe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
jaman ebu ifike mahala mkue,hz c hoja bali porojo tu,ifke mahala mtoe majibu muafaka hata kama n ya kusadkika.polen nyote make naona mnajichanganya sana oohh mara t-daim oohh mara wale wa ulimboka nasem kueni nyote hiii si facebook.
 
jaman ebu ifike mahala mkue,hz c hoja bali porojo tu,ifke mahala mtoe majibu muafaka hata kama n ya kusadkika.polen nyote make naona mnajichanganya sana oohh mara t-daim oohh mara wale wa ulimboka nasem kueni nyote hiii si facebook.

Yawezekana upo sahihi, lakini ulipaswa kuyakemea haya tangu ishu ya Ulimboka. Waache wachambuane maana CDM huwa ni wepesi sana kuwanyooshea vidole wenzao hata bila kufanya uchunguzi. Mimi huwa sipendezwi sana na hii tabia but ni vema pro-Cdm wakajua kuwa unafiki si kitu kinzuri. Watu huwa wanaongea utumbo humu na still wanajiona wapo above others.
 
Mimi sio mwanasiasa na sipendi siasa ila najiwazia tu..

Kama Kibanda angekuwa alitoka gazeti la Uhuru akahamia Tanzania Daima.. Basi watu wangeisema/kuishutumu sana CCM..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dah kweli watu wana mbinu chafu . Kibanda aliwasikia eti afande mpige risasi. Nia yao ni kuupaka matope utawala na jeshi la polisi. Sasa. Hata issue ya ulimboka nimebadilisha mawazo yangu.
 
Mungu amjalie apone haraka... ila waandishi wa habari kalamu zao ni hatari sana kama hawako makini..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…