Kibanda ajitoa kamati ya Nchimbi...

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
...Muhariri wa gazeti la Tazania Daima amejitoa kwenye kamati ya kutafuta vazi la taifa iliyokuwa imechaguliwa na waziri Imanuel Nchimbi...sababu alizotoa ni kuonyesha kutokubaliana na serikali dhidi ya unyanyasaji wa waandishi wa habari akiwamo yeye.

Source:Channel Ten

======
Update
======

 
Nampongeza kwa dhati ndugu Kibanda kwa uamuzi wake wa kuachana na hili zoezi la kipuuzi. Tanzania tuna matatizo lukuki lakini Nchimbi anaona jambo la muhimu ni mavazi?
 
Waandishi wa habari kuwa cozy cozy na watawala kutaondoa objectivity.

Leo muandishi akubali kuteuliwa na waziri katika vikamati mbuzi vyenye ulaji tele, kesho waziri kachemsha, muandishi anaweza kumuwajibisha ipasavyo kweli?

Zaidi ya hapo, kwa mtu yeyote anayejiheshimu na kuheshimu na kuelewa utamaduni ni nini, idea nzima ya utamaduni kuamuliwa kwa kamati ni kituko.
 

Mimi nilidhani sababu itakuwa ni kutokukubaliana na dhana nzima ya kuwa na kamati ya kutafuta vazi la taifa na kufuja hela za walipa kodi kumbe yeye anazungumzia unyanyaswaji.

Pathetic.
 
Yametimia! What is Vazi la taifa? Upuuzi! Kibanda tulisubiri ufanye hili!
 
Safi kabisa bwana Kibanda,haiwezekani haohao wawanyanyase nyie waandishi tena wakati huo wajirudi kijanja umefanya vema sana mkuu kufanya hvyo
 
Mimi nilidhani sababu itakuwa ni kutokukubaliana na dhana nzima ya kuwa na kamati ya kutafuta vazi la taifa na kufuja hela za walipa kodi kumbe yeye anazungumzia unyanyaswaji.

Pathetic.
You got a point! Labda tupate statement nzima!
 
Waandishi wa habari kuwa cozy cozy na watawala kutaondoa objectivity.


Zaidi ya hapo, kwa mtu yeyote anayejiheshimu na kuheshimu na kuelewa utamaduni ni nini, idea nzima ya utamaduni kuamuliwa kwa kamati ni kituko.
Hapo kweli ni kituko ndugu yangu kiranga..!By the way kibanda amefanya uamuzi sahihi.
 
Waandishi wa habari kuwa cozy cozy na watawala kutaondoa objectivity

Heshima mbele sana mkuu,

Kwenye hiyo kamati wanahabari wamejazana.

Mwenyekiti wa kamati ni Joseph, mmiliki wa vituo vya radio, tv na magazeti.....mkuu ana maana yake hapa.
 
Reactions: Ame
Hapo kweli ni kituko ndugu yangu kiranga..!By the way kibanda amefanya uamuzi sahihi.

Hapana uamuzi wake ulitakiwa uje mapema, sasa hapa asingenyanyaswa na kuhojiwa na vyombo vya dola basi angeendelea kula posho na kutafuna lunch na mkuu.
 
Mimi nilidhani sababu itakuwa ni kutokukubaliana na dhana nzima ya kuwa na kamati ya kutafuta vazi la taifa na kufuja hela za walipa kodi kumbe yeye anazungumzia unyanyaswaji.

Pathetic.

Wabongo kuondokana na ukoloni huu itabidi miaka mingi tu ipite, hususan kwa sababu mkoloni wa leo mweusi mwenzetu.
 
Naheshimu maamuzi ya Kibanda japo hayana utashi binafsi zaidi ya hisia potofu za kinyang'anyolo cha ukubwa ndani ya CCM.......siku moja ataujua ukweli.
 
Teh..teh...teh, kbanda bwana! Lakin nayeye si naskia yupo kwenye payroll ya mafisad?
 
Hivi huo unyanyaswaji wa waandishi wa habari na serikali umeanza yeye Kibanda alipokamatwa au upo muda mrefu?

Manake kama upo muda mrefu na yeye alipoteuliwa kuwa mmoja wa wanakamati kwa nini hakukataa kwa kutumia sababu hiyo hiyo aliyoitoa sasa?
 
Hivi huo unyanyaswaji wa waandishi wa habari na serikali umeanza yeye Kibanda alipokamatwa au upo muda mrefu?

Manake kama upo muda mrefu na yeye alipoteuliwa kuwa mmoja wa wanakamati kwa nini hakukataa kwa kutumia sababu hiyo hiyo aliyoitoa sasa?

Alipochaguliwa alikubali na kufurahi sana na kesho yake kulikuwa na column kubwa kwenye gazeti analoliongoza lenye heading ya " Kibanda aula kamati ya Vazi la Taifa" na mbaya zaidi aliye mteua ni waziri wa habari...hizi habari za leo kujitoa kwa ajili ya unyanyasaji ni ubinafsi wa hali ya juu, na ikumbukwe kuwa huyu jamaa ni mwenyekiti wa wahariri bongo.
 
Mimi nilidhani sababu itakuwa ni kutokukubaliana na dhana nzima ya kuwa na kamati ya kutafuta vazi la taifa na kufuja hela za walipa kodi kumbe yeye anazungumzia unyanyaswaji.

Pathetic.
Yote kwa pamoja.
 
Hivi huo unyanyaswaji wa waandishi wa habari na serikali umeanza yeye Kibanda alipokamatwa au upo muda mrefu?

Manake kama upo muda mrefu na yeye alipoteuliwa kuwa mmoja wa wanakamati kwa nini hakukataa kwa kutumia sababu hiyo hiyo aliyoitoa sasa?
Maswali mengine hayana msingi mambo huenda kwa wakati ukiwauliza wananchi kwa nini mwaka 2005 walimchagua Kikwete wengi watasema wangejua....sasa wamejua na Kibanda leo kajua simple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…