Nadhani simbachawene bado anakubalija vijjn kama kule malolo, mang'aliza, garigari, rudi, ipera na chipogoro
Katika mda wake wote Wa vipindi viwili mbunge wa sasa (Simbachawene) hajawahi kukutana na upinzani mkali kama huu maanake kapagawa na inaonekana dhahiri amechelewa sana kwa sasa, Kutokurudi jimboni amemkuta Eng. Mwikola ameweka mizizi.
Katika mda wake wote Wa vipindi viwili mbunge wa sasa (Simbachawene) hajawahi kukutana na upinzani mkali kama huu maanake kapagawa na inaonekana dhahiri amechelewa sana kwa sasa, Kutokurudi jimboni amemkuta Eng. Mwikola ameweka mizizi.
Nadhani simbachawene bado anakubalija vijjn kama kule malolo, mang'aliza, garigari, rudi, ipera na chipogoro
mmmmh jamaaa alijinadi bungeni kuwa kasambaza umeme kila kona jimboni kwake. leo hii hatakiwi?