Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,792
Ameokotwa usiku wa tarehe 25 Februari 2019 na bodaboda pale NIDA Kibaha. Yupo Tumbi hospitali, yupo salama kiafya ila tu alikuwa amechoka sana kwa njaa na jua
Kama kuna mtu ana taarifa kuwa kuna ndugu, jirani, jamaa aliyekuwa amejifungua karibuni na sasa hana mtoto tafadhali toa taarifa Polisi
Kama kuna mtu ana taarifa kuwa kuna ndugu, jirani, jamaa aliyekuwa amejifungua karibuni na sasa hana mtoto tafadhali toa taarifa Polisi