Julio na Kibadeni wameondolewa kazini baada ya kamati ya utendaji iliyokutana jana kufikia uamuzi kwamba wawili hao utendaji wao si sahihi.
Tayari Simba imekamilisha mazungumzo na kocha mwingine mzungu, si yule Bobby Willliamson ambaye aliandikwa na gazeti moja nchini kwamba ndiye kocha mpya wa Simba.
Julio na Kibadeni wameondolewa kazini baada ya kamati ya utendaji iliyokutana jana kufikia uamuzi kwamba wawili hao utendaji wao si sahihi.
Tayari Simba imekamilisha mazungumzo na kocha mwingine mzungu, si yule Bobby Willliamson ambaye aliandikwa na gazeti moja nchini kwamba ndiye kocha mpya wa Simba.
Iliwahi kuandikwa magazetini kwamba Kibaden na Julio hawana bahati na hiyo timu, ushauri wangemuacha Kibadeni asaidiane na huyo mgeni au kwa vile naye pengine atataka kuwa kocha mkuu kwenye timu nyingine
iliwahi kuandikwa magazetini kwamba kibaden na julio hawana bahati na hiyo timu, ushauri wangemuacha kibadeni asaidiane na huyo mgeni au kwa vile naye pengine atataka kuwa kocha mkuu kwenye timu nyingine
Hapo ndipo nachoka kabisa na soka la bongo! Simba timu yangu ila mambo mengine yanahitaji subira. Hakuna kosa baya kama kuwaweka Julio na Kibadeni wafundishe at the same time, wangepaswa kumpa mmoja wao na mwingine wampe kazi ingine.
Iliwahi kuandikwa magazetini kwamba Kibaden na Julio hawana bahati na hiyo timu, ushauri wangemuacha Kibadeni asaidiane na huyo mgeni au kwa vile naye pengine atataka kuwa kocha mkuu kwenye timu nyingine