Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Sasa hili nalo ni jambo la msingi? Ange wa follow watu fulani lazima ungeuliza kwanini haja wafollow na watu huwatakao wewe....
Sioni kama ni jambo la msingi kabisa kwanza kaepusha shari maana unge anza kuuliza kwanni hakumfollow fulani.. Muda mwingine mnakuwa wachonganishi hadi mna pitiliza inaonekana ni utoto.
Sioni kama ni jambo la msingi kabisa kwanza kaepusha shari maana unge anza kuuliza kwanni hakumfollow fulani.. Muda mwingine mnakuwa wachonganishi hadi mna pitiliza inaonekana ni utoto.