Kiba unazingua kijana

Kiba unazingua kijana

Sasa hili nalo ni jambo la msingi? Ange wa follow watu fulani lazima ungeuliza kwanini haja wafollow na watu huwatakao wewe....

Sioni kama ni jambo la msingi kabisa kwanza kaepusha shari maana unge anza kuuliza kwanni hakumfollow fulani.. Muda mwingine mnakuwa wachonganishi hadi mna pitiliza inaonekana ni utoto.
 
Kwendeni huko na alikiba wenu...watu siku mnakula maharage ya wap
watu tumeibiwa bil.600 mnaishia kujadil upuuz
 
Khaaa sasa awafollow wa nini? Ili iweje? Wanaompemda wamemfollow wew tulia...
Kiba anawazuzua mmekosa cha kusema mmeanza kumftilia IG..
Kiba huyu huku mwinginee njooo mkimbizeeeeeeeee
 
Kwendeni huko na alikiba wenu...watu siku mnakula maharage ya wap
watu tumeibiwa bil.600 mnaishia kujadil upuuz

Izo billion 600 kaiba kiba? Una uchungu na nchi yako kuna majukwaa ya kujadili hayo huku ni udaku kwa kwenda mbele...
Na kiba ndo habari ya mujiniii eeeee
 
Wabongo mna shobo sana mnapenda followers na likes..... mbona Marshall Mathers hajamfollow any muthafucka na sisi STANS wote tunaona mbona mzuka tu, wengine mnapost nonsenses sasa hakuna mtu mwenye time ya kuangalia nonsenses...
 
Back
Top Bottom