Kiashiria cha ushindani CAS TCU

Kiashiria cha ushindani CAS TCU

Masiya

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
7,602
Reaction score
7,341
Zikiwa zimebaki siku kama 10 kwa CAS kuacha kukubali maombi mapya kuna kitu kinanitatiza. Unapochagua program CAS inaonyesha idadi ya waombaji wengine waliokwisha ichagua program husika (nafasi (priority) ya 1 hadi ya 5) kwa muda mrefu kwenye selections za dogo sioni kama idadi ile inabadilika. Swali ni Je CAS kwa hili ikosahihi? Au system imekwama hivyo haitupi taarifa sahihi ya kutusaidia kufanya maamuzi. Kama inafanya kazi je hii inashiria kuna program zitakuwa na shida ya kupata wanafunzi? Tafadhali tushare experiences kwenye hili na tujiweke sawa kisaikolojia.
 
TCU itakuwa System (App) hile Wameinunua Kwenye Campuni Za Mwendokasi!!!
 
Pale mwanzoni ni kama ilikuwa inafanya kazi kwani mfano Ardhi University walioomba Land Management and Valuation priority 1 walikuwa 817 baadaye ilibadilika kuwa 815 hadi leo imekama hapo na University of Dar walioomba BA in Economic walikuwa 220 lakini wakashuka mpaka 158 na mpaka leo wamesimamo hapo,Salsa sijui ila nafiri system imekwama na IT wa TCU sijui wamelala
 
Back
Top Bottom