Kiapo cha daraja la umason

So kuna baadhi hawafanyi? Na kama ni kafara inakuwa ni ndugu yako au mtu yoyote?
Kafara za freemason asilia ni vigumu kujua wanatoa kina nani lakini wana makafara ya damu na viapo vizito vinavyoambatana na kutotoa siri yoyote ndio maana kwa hakika ni ngumu kujua hasa mambo yao ya ndani kwakuwa hata ukiasi hawakuachi hai
 
Nilichogundua hawana tofauti na usalama wa taifa ila wao wanafanya vitu vyao binafsi.
 
Kafara za freemason asilia ni vigumu kujua wanatoa kina nani lakini wana makafara ya damu na viapo vizito vinavyoambatana na kutotoa siri yoyote ndio maana kwa hakika ni ngumu kujua hasa mambo yao ya ndani kwakuwa hata ukiasi hawakuachi hai
Sasa kuna tofauti na Usakama wa Taifa kama ndio hivyo?
 
Mkuu mimi hawa jamaa nishafanya nao kazi sana tu nawajua mpaka kwenye ngazi yao ya kati.
Ni sawa Lakini bado ni sect yenye mizizi ya kiimani sasa kutokana na nidhamu ya juu ya watu wake ndio maana hutumiwa na intelligence units lakini pia kumbuka kwa mlango wa nyuma ndio huwa wanaamua nani awe nani kwenye siasa na uongozi wa nchi kwahiyo upo sahihi
 
Mkuu bila shaka hubaatishi haya mambo miaka 100 barikiwa sana.
 
Mkuu bila shaka hubaatishi haya mambo miaka 100 barikiwa sana.
Mungu atuwezeshe tufike wote BTW ulifikia level gani ya umason? Nina hakika kiapo ilikuwa bado
 
Teh teh teh naona unataka kunichimba sasa ni ujanja ujanja tu mkuu.
Hapana ni kwa vile tunaongea lugha moja usijali kwakuwa ukishafika level ya kiapo hapa huwezi kusogea la sivyo hutamaliza siku na hutajua kilichokumaliza
 
Hapana ni kwa vile tunaongea lugha moja usijali kwakuwa ukishafika level ya kiapo hapa huwezi kusogea la sivyo hutamaliza siku na hutajua kilichokumaliza
Watakuelewa tu vijana ingawa sasa hivi unaonekana kituko.
 
Hizi Iman zimewafanya washindwe kujua kama wapo gizani sidhani kama Mungu alituumba tuje kuteseka Duniani.
Mungu hakuweka limit kwenye kutafuta maarifa wengi hapa wanapotoka mno
 
nimeona tu hii nimesisimka kuna kauchawi hapa we mshana upo same ama vepee utakuwa mganga wa kienyeji walahi
 
Alafu waumin wengi wanaume huku kwa masonia ni kwa nn mshana jr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…