Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

Hiii ni hatari sana lakini wacha mshugulikiwe kweli kweli ......

Tuliwaambia wote kuwa ccm uwa aina huruma na watanzania baada ya uchaguzi hamukuelewa......

Wacha iwashugulikie kabisa hasa vijijini watu wajue maana ya maisha.......

wamechelewa sana walipsawa kuwa wameshaanza kukata na shangaa mpaka leo
 
Tutakuwa kama Marekani. Kodi inakusanywa kila mahali, kila mwananchi anapata huduma zote muhimu.

Hongera serikali ya CCM.
Aiseeeee,basi wafanye kila ukizaa mtoto ulipe kodi maana kwa akili hizi,nchi hii bado ina safari ndefu
 
Lakini Mkuu huoni Watanzania 54million tunapata tabu kwa gharama ya wale 8Mil (kama kweli walifika hiyo idadi)?? Hivi hawa 8mil wasipofunguka akili 2020 wakabadili maamuzi si tutaendelea aisee kutaabika?
E Mungu, Muumba wa Mbingu na Ardhi tunusuru sisi waja wako, nasi ni Binadamu pia.
Hao million nane walituimbia tutaisoma number nadhani wao kwenye mikopo, ajira na hii ni exceptional.
 
Zoezi hili ilikuwa lifanyike miaka mingi iliyopita wakati makampuni ya simu yanaingia.

Nchi nyingi hiyo kodi inakatwa kampuni siyo mteja anayenunua vocha au muda wa maongezi. Kuna umafia fulani unafanywa na makampuni haya hapa kwwtu baada ya kuwachia kwa miaka mingi.

Haiwezekani ununue airtime shs 1,000 lakini waingine 800 na ushee kwenye simu ya mteja. Serikali lazima inawatoze kodi lakini sio wao kuhamishia kwa wateja.
Weeeeeeeeee VAT huwa inakatwa kwa mtumiaji wa mwisho,labda hapa kwetu Tanzania tu
 
1479832986171.png
hapo tigo naona wanatulipia
 
Tutakuwa kama Marekani. Kodi inakusanywa kila mahali, kila mwananchi anapata huduma zote muhimu.

Hongera serikali ya CCM.

Hapana ,hatuwezi kufanana na Marekani kabisa aisee!!..

Sisi tunakula mpaka 'rambirambi' tunafananaje na wa-Amerika !!!?..
 
Hili la makampuni ya simu kuanza kitufyeka asilimia 18 kama makato ya VAT,ni matokeo ya kikao cha bunge la bajeti,serikali iliwagiribu wabunge kuwa mtumiaji wa mwisho hatakatwa hiyo VAT,wabunge wakakubaliana na lugha tamu ya waziri wa fedha huku makato hayo yakoendelea kuitwa VAT,kitendo cha kupitisha bajeti na kuyaita VAT ilikuwa ni mtego tu wakisibiri pressure ishuke makato yaanze,kama kweli tulitaka makampuni haya ya simu ndiyo yalipe kodi ilitakiwa makato hayo yaitwe kisheria VDT(value deducted tax) na si Value added tax.ipo wazi kabisa VAT hulipwa na mtumiaji wa mwisho! Kitendo cha bunge kuacha kubadili dhana nzima ya makato kutoka VAT kwenda VDT lilibakisha mzigo wa kodi kwa mtumiaji wa mwisho.
 
WOW MAMBO KAMA HAYA NDIO MTAJI WA KURA.....UKAWA JIPANGENI UPYA NJIA NYEUPEEEEEE..KABISA LABDA WAIBE KURA TENA WAIBE KWELI MAANA KISANDUKU CHA KIJANI HATA KIGANJANI HAKITAJAA...ILA UKWA WAACHE UBINAFSI , AANZENI KUJIJENGA SASA HIVI
NIKIFIKIRIA
VODA WAPO 12M
TIGO 6M
AIRETEL 4M
ZANTEL 3M
NA WENGINE 4M

LABDA WENGINE WANA DOUBLE LINES LAKINI AVERAGE HAPA HUKOSI 10M VOTES
UNAONDOA HIO VAT YA VOUCHER
UNAONDOA VAT YA BIMA..NAYO TAYARI NI MTAJI WA KURA
SI UNAJUA HALI MBAYA NA HATA HUKO KWA TRUMP USHINDANI ULIKUA KUHUSU KODI
CCM WANATUKAMUA MPAKA BASI...
 
Back
Top Bottom