Mijitu iliyokaa pale tra na kule tcra ni mihayawani, mishamba haijui kwenda ma wakati. Ipo ipo tu, aheri misukule watakufanyia hata kazi za shamba kwa malipo ya unga.
Watu wengi wamekaa serikalini wapo wapo tu.. Eti mpaka miezi miwili iliyopita(sijui sasa hv) huduma ya PayPal hamna nchini, si upopoma huu, sasa si bora tukaishi pluto huko
Kuna kigari(nissan leaf) nilikichungulia tra calculator, hakuna option ya gesi ala umeme wao ni petrol ama diesel tu basi, sasa hii si ni dunia ya 1950 kweusi huko.
Mijitu iliyokaa pale tra na kule tcra ni mihayawani, mishamba haijui kwenda ma wakati. Ipo ipo tu, aheri misukule watakufanyia hata kazi za shamba kwa malipo ya unga...