tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea udiwani Kata ya Makonde Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Kijana Abdalah Khatau amechukua fomu ya kugombea udiawani ambapo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Ngazi ya Kata hiyo amemkabidhi fomu mgombea huyo.
Soma pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Udiwani katika Uchaguzi Mkuu 2025
Baada ya kuchukua fomu Khatau, amekishukuru chama chake kwa kumuamini kumteua kuwania nafasi hiyo akiahidi endapo atachaguliwa na wananchi mwezi Oktoba kwenye uchaguzi Mkuu atahakikisha kata ya Makonde iliyopo Mjini kati inaendelea kubadilika kimaendeleo.
Soma pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Udiwani katika Uchaguzi Mkuu 2025
Baada ya kuchukua fomu Khatau, amekishukuru chama chake kwa kumuamini kumteua kuwania nafasi hiyo akiahidi endapo atachaguliwa na wananchi mwezi Oktoba kwenye uchaguzi Mkuu atahakikisha kata ya Makonde iliyopo Mjini kati inaendelea kubadilika kimaendeleo.