Khanga party photos

KHANGA5.JPG


sasa hii si nepi kabisa hii!
huu uchuro maana najua mtu mzima anayevaa nepi ni yule anayeendesha kwa kuadhirika na kale kaugonjwa ketu, sasa mtu timamu kabisa ukajivalishe KANYELAMUMO huku ni kulinajisi vazi la kanga lenye heshima zake!
 
unajua hata kama unamchukia, mchukie tu.
Tatizo lake amekushika pabaya , na kwa sasa maumivu yake unayasikia. Mtoto wa binadamu mwenzako kakukosea nini, please if u hate dr. Slaa, leave him alone sio kumtusi rais mtarajiwa, pia usimtusi jk kwani ni rais wetu, naye pia ni rais mtarajiwa. Jiheshimu bwana na heshimu utu wa watu ebo!!!!!





dr-slaaa.jpg

very innocent!!! waiting for your votes!!!
 
Uzuri wa kanga ni all weathers haibagui ukitaka nyeahumohumo mwake, ukitaka kanga moja iliolowana utamu wote nje, ukitaka kama vazi rasmi la kutokea mwake...
 
KHANGA5.JPG


sasa hii si nepi kabisa hii!
huu uchuro maana najua mtu mzima anayevaa nepi ni yule anayeendesha kwa kuadhirika na kale kaugonjwa ketu, sasa mtu timamu kabisa ukajivalishe KANYELAMUMO huku ni kulinajisi vazi la kanga lenye heshima zake!

Umenifurahisha kweli, hii ni lugha gani? kindamba?
 
Sasa hapa DR. Slaa kaingia vipi? By the way hiyo khanga party ilikuwa sehemu gani?
 
Nakumbuka cilinton aliekuhttp://3.bp.blogwa spot.com/_2yv4RHXgA1o/TFhEVBCQWQI/AAAAAAAAA78/dhEkDOvvhLo/s1600/38544_10150226845995691_853815690_14091768_2518126_n.jpg[/IMG]
40182_10150226845835691_853815690_14091759_7796243_n.jpg
39957_10150226845430691_853815690_14091729_1328792_n.jpg
KHANGA7.JPG
KHANGA5.JPG
KHANGA4.JPG
[/QUOTE]
PHP:

Nakumbuka Clinton aliwahi kusema watu wa nchi zaulimwengu wa tatu wasige mila za magharibi na ulaya
sasa hii imekuwaje tena kanga nivazi la heshima kinamama wa Africa tunalipeleka wapi hili vazi wageni wakifika huku wananunua ganga na vitenge nyiyi mnalibadli kwamakusudi samaniyake hivi hizi njaa zenu msipo sema nazo mtaambiwa hata kulakinyesi mtakubalitu kwakua inalipa watu wanabuni njia za ajabuajabu kutafuta pesa na jamii inafatatu badala ya kukemea mambo haya kweli tumekwisha:doh::doh::doh:
 
Kama wewe ni mtu wa dini na unaipenda na kuiheshimu dini yako,sema ukweli Daktari Slaa hajachukuwa mke wa Amanuel Chadiel Mahimbo mkazi wa Kimara, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam?
Tatizo lenu ni kupenda kupita kiasi hata chongo unaona kengeza!Penye ukweli lazima watu wauseme japokuwa kwako na kwa wenzio unawauma(mkiona mnakeleka jitoeni humu jamvini na mkimbilie kule ze ujinga ujinga!)
Kwa taarifa yako na wenzio mwaka mnao,wacha kwanza jamaa warudi ikuru halafu mtawatambua kama vile alivyowatambua Ngawaiya!

Hivi Slaa anahusikaje hapa???

Watu wengine bana.....
 
utamu huu cku hizi unafanyika kimya kimya tujuzane unapowadia wakt nasi tukataradad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom