pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 35
Kama wewe ni mtu wa dini na unaipenda na kuiheshimu dini yako,sema ukweli Daktari Slaa hajachukuwa mke wa Amanuel Chadiel Mahimbo mkazi wa Kimara, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam?
Tatizo lenu ni kupenda kupita kiasi hata chongo unaona kengeza!Penye ukweli lazima watu wauseme japokuwa kwako na kwa wenzio unawauma(mkiona mnakeleka jitoeni humu jamvini na mkimbilie kule ze ujinga ujinga!)
Kwa taarifa yako na wenzio mwaka mnao,wacha kwanza jamaa warudi ikuru halafu mtawatambua kama vile alivyowatambua Ngawaiya!
Chunga mdomo wako please!
Hapa siyo sehemu ya kuongea ongea ovyo tena mambo yasiyokuwa na maadili!
Mind u siyo lazima uchangie ikiwa huana la kusema waweza kaa kimya.