Kaka naomba nipe location au namba ya cm ya muuzaji itapendeza sana kaka nipo ZanzibarWauzaji wa mitandaoni muna nini lakini. Mbona bei zenu zipo juu. Nimepita sengerema na viunga vyake ndani ndani kanga kubwa wanaziita au kanga za zanzibar ni 12k. Nyie mnatoa wapi izo bei
Ukizisoma, nao wanaagiza India.Kumbe zenj wana viwanda
MawingaWauzaji wa mitandaoni muna nini lakini. Mbona bei zenu zipo juu. Nimepita sengerema na viunga vyake ndani ndani kanga kubwa wanaziita au kanga za zanzibar ni 12k. Nyie mnatoa wapi izo bei