Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mdau wa Michezo nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa umoja wa vijana kata ya Upanga Magharibi Khalil Ifn Karim amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Udiwani kata ya upanga Magharibi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025