Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
mmmh, uje na helmet ya tindikali
au uje na tester ya sumu kwenye pilau.
si unajua nilivyo na roho mbaya kwenye milki zangu??
Kama una roho ngumu karibu.
Wala haina shida nataka nikuletee boxi la misumari ya kupamba mezani.. Na shoka incase mifupa ya kuku ikiwa migumu.