Kha..! Nyie BAKWATA kulikoni..?

Kha..! Nyie BAKWATA kulikoni..?

Status
Not open for further replies.
Kwani weye upo wapi? Naona BAKWATA hawapo Nachingwea.
Hivi kwanini allah anasubiri usaidizi wa Mwezi? Mimi nilifikiri kuwa Allah hana msaidizi, kumpe mpaka mwezi. Khaaaaaaa
Thread ilikuwa nzuri but imeishavamiwa! Duu!
 
Hivi wewe unajua Uislam kweli au unaleta porojo zako za CCM!<br />
Kwa taarifa yako kesho dunia nzima ni EID kasoro Tanzania tu. Usipotoshe watu hapa JF, hao BAKWATA wako nani kawapa mamlaka ya kuwasemea Waislam wa Tanzania! Ningekujibu zaidi sema hapa sio mahali pake, ebu pitia hii site uone kesho ni siku gani kwa Waislam dunia nzima. www.isna.net
<br />
<br />
mkuu inaelekea upo kiushabiki zaidi i'm a muslim najua ninachokisema hata mimi b4 nilikuwa na mawazo kama yako bt baada ya kumsikiliza vizuri Dr Zakir Naik wa Peace tv kipindi cha 'Ramadhan a date wit dr zakir' ndo nikaelewa hekima ya huu mwezi just pata picha ww nitajiri unafungua kesho na maskini anafungua kesho kutwa je yale mafundisho ya kuoneana huruma na kufurahishana na kusaidiana ktk eid yatatekelezeka try kuperuzi source tofauti uelewe mambo hii dini inaelekeza maisha so there r teachings for every ibadat
 
Hivi wewe unajua Uislam kweli au unaleta porojo zako za CCM!&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Kwa taarifa yako kesho dunia nzima ni EID kasoro Tanzania tu. Usipotoshe watu hapa JF, hao BAKWATA wako nani kawapa mamlaka ya kuwasemea Waislam wa Tanzania! Ningekujibu zaidi sema hapa sio mahali pake, ebu pitia hii site uone kesho ni siku gani kwa Waislam dunia nzima. www.isna.net
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
mkuu inaelekea upo kiushabiki zaidi i'm a muslim najua ninachokisema hata mimi b4 nilikuwa na mawazo kama yako bt baada ya kumsikiliza vizuri Dr Zakir Naik wa Peace tv kipindi cha 'Ramadhan a date wit dr zakir' ndo nikaelewa hekima ya huu mwezi just pata picha ww nitajiri unafungua kesho na maskini anafungua kesho kutwa je yale mafundisho ya kuoneana huruma na kufurahishana na kusaidiana ktk eid yatatekelezeka try kuperuzi source tofauti uelewe mambo hii dini inaelekeza maisha so there r teachings for every ibadat
 
<br />
<br />
mkuu inaelekea upo kiushabiki zaidi i'm a muslim najua ninachokisema hata mimi b4 nilikuwa na mawazo kama yako bt baada ya kumsikiliza vizuri Dr Zakir Naik wa Peace tv kipindi cha 'Ramadhan a date wit dr zakir' ndo nikaelewa hekima ya huu mwezi just pata picha ww nitajiri unafungua kesho na maskini anafungua kesho kutwa je yale mafundisho ya kuoneana huruma na kufurahishana na kusaidiana ktk eid yatatekelezeka try kuperuzi source tofauti uelewe mambo hii dini inaelekeza maisha so there r teachings for every ibadat
Swali la msingi hapa Iddi ni lini?
 
Mkuu, ushauri wangu kwako usome vizuri Uislam utauelewa, Uislam sio mawazo ya mtu wala rai, ili kuufahamu Uslam tumeachiwa vitu viwili Quran na Hadith tu, hamna kingine inabidi usome. Kama unafuata maneno ya mtu ndio unafanya reference unakosea mkuu, mimi nakuacha bahati mbaya sipo Tanzania lakini kesho ni EID MUBARAK
 
Jamani hawa bakwata mbona hawatangazi mwezi? Mwezi umeonekana mtwara na baadhi ya maeneo ya kusini.....nashindwa kuwaelewa hawa watu nao wameshikwa na magamba tatizo....pumbafu sana hawa
<br />
<br />
Ww ndie pumbafu!!!
 
Ndio maana wanafanya njama kuhakikisha waislam wanfarakana katika kila jambo hata katika ibada zao.<br />
Zote ni athari za mfumo kristo ila mwisho wake unakuja karibuni.
<br />
<br />
toa uchawi wako humu
 
Kwani weye upo wapi? Naona BAKWATA hawapo Nachingwea.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hivi kwanini allah anasubiri usaidizi wa Mwezi? Mimi nilifikiri kuwa Allah hana msaidizi, kumpe mpaka mwezi. Khaaaaaaa
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
wewe janaa ni mbishi sana kuliko ata panya.ALLAH hasubiru mwezi.ALLAH kaumba mwezi na vyote unavovijuwa.WAISLAMU wameamrishwa na sheria ya dini yao kuwa wafate mwezi kama ishara ya kuingia mwezi mwingine.(lunar calendar).na sio kabisa kama unavyo juwa wewe.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kwanini myster pumvafu?.
<br />
<br />
Kila kitu kiko hapa http://moonsighting.com/1432shw.html

Pumbafu kwa kuwa anaita wenzie pumbafu y pumbafu aiwe yy?
 
kwa taarifa yenu idi kesho! Hadi bakwata watangaze mtake msitake.
 
Walikuwa wanapata maamuzi kutoka Serikalini wakati wa Nyerere, kwa sasa wanapata kutoka kanisani!

Inaonekana wewe unawachukia sana Wakristo, kwa nini? Je, una maanisha nchi inaendeshwa na kanisa? Na kama ndio, toka lini na mpaka lini? Wakristo hawana Mtume anayeitwa Muhammad hivyo sio rahisi kwao kuamua siku ya Idd!!
 
Walikuwa wanapata maamuzi kutoka Serikalini wakati wa Nyerere, kwa sasa wanapata kutoka kanisani!
<br />
<br />
Jamani wewe dada nakupenda bure na mambo yako na ninakufurahia sana unavyochangamsha jamvi hili na maneno yako.
 
sisi huko tupo Ughaibuni tunakula leo sikukuu hoyeeeeeee nyie kaeeni na Bakwata yetu mpaka wauone huo mwezi ndio watatangaza ninafikiri mwezi utaonekana leo mchana hoyaaaaaaaa na Bakwata yenu waislam wa bongoooooooooo
 
Hivi wewe unajua Uislam kweli au unaleta porojo zako za CCM!
Kwa taarifa yako kesho dunia nzima ni EID kasoro Tanzania tu. Usipotoshe watu hapa JF, hao BAKWATA wako nani kawapa mamlaka ya kuwasemea Waislam wa Tanzania! Ningekujibu zaidi sema hapa sio mahali pake, ebu pitia hii site uone kesho ni siku gani kwa Waislam dunia nzima. ISNA.NET - main page

Hata Kenya nasikia Idd ni Jumatano!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom