DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakili Deogratias Mahinyila aliye upande wa jopo la Mawakili wa Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa (BAVICHA) akiongea na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar Es Salaam amesema mapingamizi yaliyowekwa na Lissu yametupiliwa mbali, kesi ya msingi ikaendelea ndipo Lissu alipowataja mashahidi wake 15 akiwemo Rais Samia Suluhu, kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 06, 2025.