Kesi ya Tundu Lissu itumike kutufundisha kuwa Amani ya Taifa letu haichezewi, waasisi wa Taifa letu wameturithisha amani tuitunze na kuilinda

Kesi ya Tundu Lissu itumike kutufundisha kuwa Amani ya Taifa letu haichezewi, waasisi wa Taifa letu wameturithisha amani tuitunze na kuilinda

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI
Kwa hyo mkuu tulinde amani tuwaache kina rostam aziz na aziw dewji na kina seth watuibie rasilimali zetu muasisi wa huu msemo sijui ni nani yaani vyombo vyetu vya ulinzi vinaacha kulinda rasilimali vilinde amani baadae tutakula nini.
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Sawa Tahira wa MAMA
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Huna akili
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
NASIKIA PALE RUMUMBA WANA FI""" GA KWA ZAMU NDIO MNAINGIA JF KUANZA KUANDIKA KWA UCHUNGU WA BUKU SABA ZA CCM.
 
Kwa hyo mkuu tulinde amani tuwaache kina rostam aziz na aziw dewji na kina seth watuibie rasilimali zetu muasisi wa huu msemo sijui ni nani yaani vyombo vyetu vya ulinzi vinaacha kulinda rasilimali vilinde amani baadae tutakula nini.
Wamekuibia Nini mbona una roho ya kimaskini Sana, mnashinda mahakamani badala muende mkatafute hela
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Somo kubwa ni kwamba Tanzania ya sasa inaongozwa na madikteta majinga. Kesi kama hii haitofautiani na kesi alizopewa Nyerere na wakoloni.
Lakini mwisho utafika na madikteta majinga yatapita
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
We kiazi endelea kutetea madhulmati.wanaohatarisha usalama wa taifa ni lisu au ccm na kesi zao za mchongo
 
Somo kubwa ni kwamba Tanzania ya sasa inaongozwa na madikteta majinga. Kesi kama hii haitofautiani na kesi alizopewa Nyerere na wakoloni.
Lakini mwisho utafika na madikteta majinga yatapita
Si mlisema mnakinukisha ...ngoja mnyooshwe
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Sio amani, sema uzombie wa taifa letu. Hakuna kesi hapo bali ni aibu mahakama na taifa. Yaani hiyo kesi inadhihirisha ni kwa kiasi gani tuna viongozi wajinga.
 
Ndugu Watanzania wenzangu, linapokuja swala la Amani ya Taifa letu tusichukulie poa, tuwakemee watu wote wenye vimelea vya kuleta vurugu nchini mwetu, hii amani tuliyo ni utajiri tosha, tuepuke upotoshaji.

Waasisi wetu walituachia amani, tuendelee kuilinda kwa uzalendo mkubwa, navipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuendelea kuilinda amani yetu kwa udi na uvumba huu ni uzalendo mkubwa.

NAdhani Lissu kwasabu familia yake haipo nchini Ina Uraia wa Marekani akaona hana Cha kupoteza nchini kwahyo anaweza kufanya lolote huko ni kujidanganya serikali yetu ipo macho hailali tutii Sheria zetu, amani yetu haichezewi amani yetu italindwa kwa mujibu wa Katiba yetu.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki viongozi wetu
Mungu Ibariki Africa.
OCTOBER TUNATIKI ✅
Amani kwetu ni kufumbia macho uovu.Nimekuelewa
 
Amani haiwezekani kulindwa kwa bunduki amani inakuja yenyewe palipo na haki
 
Back
Top Bottom